COMOTANG
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 2,131
- 1,807
Na ukidanganyika hufai kwa lolote na huweza kupoteza sifa ulizokuwa nazo awaliWalidanganywa wakadanganyika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ukidanganyika hufai kwa lolote na huweza kupoteza sifa ulizokuwa nazo awaliWalidanganywa wakadanganyika
Yaani DPP afute kesi kisha magaidi watoke nje waendelee na njama zao haramu za kupanga mikakati ya kuhatarisha Amani ya nchi yetu??!!
Sijui lengo lake niniHawala wa Mahita naona, au Kingai labda
Haikuwa hiyo tarehe.Ila Maulana alimuondosha kwa makusudi yake.😝😝😝Alimfanya akaishi Kondeni kama Hayawani.
Mungu ni mkali wa kuadhibu kama alivyofanya Tar 17 machi
Hii kesi ni mpango wa Mungu imekuwa ni darasa HURU la bure la sheria na haki za mtuhumiwa kwa jamii yoteLkn pia kwa sehem kubwa cross examination ya mawakili wa serikali haijafanyika. Nimeona kama wameamka na wanauliza habari za msingi sana
Hivi ni maji huongezwa maharage au ni maharage huongezwa maji?Unadhani Kuna mwanajeshi atafukuzwa akwambie tatizo???
Hata kusikia walifukuzwa tumesikia hapo mahakamani.
Japo mpaka Sasa sijajua urio kaingiaje kwenye hii saga na kuwa mhalifu Tena,hii kesi inawezafunua mambo mazito,ambayo hakuna mtu alikuwa anayajua.
Acha tuongeze maji maharage.
Hata kama aliondoka mwezi Feb muhimu ni hayupo. BasiHaikuwa hiyo tarehe.Ila Maulana alimuondosha kwa makusudi yake.😝😝😝
Humo humo kuna polisi la jeshi humohumo Tiss ya jeshiKesi hii inapaswa kuendelea ili kupata ukweli halisi.Inaonekana Kuna Vita Kati ya jeshi la wananchi na TISS waliovaa mavazi ya kipolisi.Haiwezekani makomandoo wafanyiwe uhuni kiasi hiki halafu Mkuu wa majeshi awe ofisini,anapaswa atoke,hofu yetu Siku JWTZ likigawanyika itakuwa hatari.Leo MOSSES LIJENJE anakwenda kufahamika wapi alitupwa,luteni URIO kwa Nini aliteswa.ushauri wetu kwa CDF kaa na vijana wako ili kuimaliza sintofahamu hii mapema,ili yasitokee ya GUINEA katika TAIFA .
Nawaza tu je na Ile ya Lissu ingefunguliwa ingekuwaje? Tungebaki midomo wazi.Hii kesi ni mpango wa Mungu imekuwa ni darasa HURU la bure la sheria na haki za mtuhumiwa kwa jamii yote
The biggest shameNawaza tu je na Ile ya Lissu ingefunguliwa ingekuwaje? Tungebaki midomo wazi.
Zaidi ya BokoharamPolisi ni wahalifu na majambazi ndani ya u;iform
Polisi ndio watuhumiwa wa ugaidi.Kesi Imebakifaya. Hawakujua.
Yeah kuna jambo.Kesi inaleta hofu hata kwa watawala... "Wakati hukuwepo nchini niliogopa sana, ...." Kauli ya VP,Dr Mpango,wakati anamkaribisha Rais
Kuna gaidi nchi hii kuwazidi CCM ?Wacha waendelee nayo, maana wanataka kukomesha magaidi ndani ya nchi yao
mimi huyo maupepo na muamini kidooga sana.maana yupo kwenye lile kundi yule bwana alieondoka.Kuna wakili yule wa serikali anaonekana ni jeuri na mtu wa majungu sana, kuna maswali alikuwa akimuuliza Adamo akitaka kujua yale ambayo yanafanyika kule DRC, kuna wakati anachonokoa kutaka kufahamu ni kwa jinsi gani Makomando wanavyofanya kazi.
DPP aingilie kati kuepuka haya kutokea maana tunapoelekea huko siri nyingi zitawekwa wazi, pia itatengeneza uhasama kati ya majeshi haya wawili jeshi la polisi na jeshi la wanannchi.
Swali langu? Hadi huyo luteni Urio kuteswa huko ni kwamba Jenerali Mabeyo hana taarifa na kinachoendelea kwa vijana wake, inasikitisha sana.