Kesi ya Mbowe na wenzake inaanika hadi 'mambo ya siri za nchi'. DPP hujachelewa kuifuta

Lkn pia kwa sehem kubwa cross examination ya mawakili wa serikali haijafanyika. Nimeona kama wameamka na wanauliza habari za msingi sana
Hii kesi ni mpango wa Mungu imekuwa ni darasa HURU la bure la sheria na haki za mtuhumiwa kwa jamii yote
 
Unadhani Kuna mwanajeshi atafukuzwa akwambie tatizo???
Hata kusikia walifukuzwa tumesikia hapo mahakamani.

Japo mpaka Sasa sijajua urio kaingiaje kwenye hii saga na kuwa mhalifu Tena,hii kesi inawezafunua mambo mazito,ambayo hakuna mtu alikuwa anayajua.

Acha tuongeze maji maharage.
Hivi ni maji huongezwa maharage au ni maharage huongezwa maji?
 
Kesi hii inapaswa kuendelea ili kupata ukweli halisi.Inaonekana Kuna Vita Kati ya jeshi la wananchi na TISS waliovaa mavazi ya kipolisi.Haiwezekani makomandoo wafanyiwe uhuni kiasi hiki halafu Mkuu wa majeshi awe ofisini,anapaswa atoke,hofu yetu Siku JWTZ likigawanyika itakuwa hatari.Leo MOSSES LIJENJE anakwenda kufahamika wapi alitupwa,luteni URIO kwa Nini aliteswa.ushauri wetu kwa CDF kaa na vijana wako ili kuimaliza sintofahamu hii mapema,ili yasitokee ya GUINEA katika TAIFA .
 
Kesi hii inapaswa kuendelea ili kupata ukweli halisi.Inaonekana Kuna Vita Kati ya jeshi la wananchi na TISS waliovaa mavazi ya kipolisi.Haiwezekani makomandoo wafanyiwe uhuni kiasi hiki halafu Mkuu wa majeshi awe ofisini,anapaswa atoke,hofu yetu Siku JWTZ likigawanyika itakuwa hatari.Leo MOSSES LIJENJE anakwenda kufahamika wapi alitupwa,luteni URIO kwa Nini aliteswa.ushauri wetu kwa CDF kaa na vijana wako ili kuimaliza sintofahamu hii mapema,ili yasitokee ya GUINEA katika TAIFA .
Humo humo kuna polisi la jeshi humohumo Tiss ya jeshi
 
matatizo yoote haya aliesababisha ni mwenda zake na kundi lake lile alilolipa kibuli na kujiona watu ote wakwao na wanawafanya wanavyotaka.
 
Kuna wakili yule wa serikali anaonekana ni jeuri na mtu wa majungu sana, kuna maswali alikuwa akimuuliza Adamo akitaka kujua yale ambayo yanafanyika kule DRC, kuna wakati anachonokoa kutaka kufahamu ni kwa jinsi gani Makomando wanavyofanya kazi.

DPP aingilie kati kuepuka haya kutokea maana tunapoelekea huko siri nyingi zitawekwa wazi, pia itatengeneza uhasama kati ya majeshi haya wawili jeshi la polisi na jeshi la wanannchi.

Swali langu? Hadi huyo luteni Urio kuteswa huko ni kwamba Jenerali Mabeyo hana taarifa na kinachoendelea kwa vijana wake, inasikitisha sana.
mimi huyo maupepo na muamini kidooga sana.maana yupo kwenye lile kundi yule bwana alieondoka.
 
nakumbuka miaka ile watu wananyonywa damu na kuchunwa ngozi.
miili iliokotwa na wahanga hawakulipwa chochote hakuna aliefuatilia.

kuna wakati wakajichanga wakamnyonya damu mtoto wa kuu mmoja wa kikosi fulani cha jwtz.

alichokifanya mkuu yule kwenye eneo lile.nafikili ndio ikawa mwisho wa watu kunyonywa damu.

wakabadili mbinu na kutaka watu wajitolee.

na hawa hivyohivyo.kunasiku atafanyiwa ubaya mtoto wa levo zoa, ndio patachimbika.
 
64 Reactions
Reply
Back
Top Bottom