- Thread starter
- #21
Jaji, polisi, mawakili wa serikali, na ofisi nyingine za umma zote ziko against Mbowe kwenye hii kesi, na zinapeana ushirikiano wa kutosha, hapa Mbowe lazima afungwe, no way out for him.
Ni wazi kuwa si kwa mfumo huu uliopo tena.
Mwanzo mpya si hiari tena.