Kesi ya Mbowe: Mchezo wa Paka na Panya kwa Maslahi ya nani?

Kaka hatari yake ni kubwa kushinda wanavyo fikiria.Tunajenga jamii kubwa sana ya visasi.mama kaa kimya,hivi tuna viongozi kweli ,au tuna watawala na si ni watawaliwa?

Nahisi makubwa yaja,Tuendelee kupaza sauti labda ipo siku sauti yetu itasikika Nyikani.nahuzunika nasikitika,najaribu kuangalia niupi mustakabali wa taifa hili kesho yake.

Kila siku kwenye maisha yetu kuna “Majibwa” ambayo yametumwa kukutoa kwenye mstari,na kuihakikishia kuwa tanzania hii wao ndio mabwana nasi ndio watwana.
Tanzania ipo kwenye auto-pilot.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hii kesi ni biashara kwa watu hadi wamalizie maghorofa yao ndo itaisha,unajua wanalipwa posho ngapi kwa siku Ili kuendesha?
Wapo watu kazini kubuni mbinu za kutafuna kodi zetu
Kwa pesa ya dhuluma rafiki yangu gorofa litakuangukia au utaungulia ndani. . Dhuluma ni mbaya ni kwa vile mioyo yetu imejazwa na ushetani tunashindwa kujitambua mpaka hapo tutapokuwa kwenye mateso ndipo tutatambua kwamba tuliwatendea wengine ubaya na sasa tunapata milipo yenu.
 
Back
Top Bottom