Kesi ya Mbowe: "Mahakamani si kwa Mama zetu"

Jaji lazima ataikubali iingie

Ingependeza zaidi lakini uwezekano huo ni ndogo. Maamuzi yanakuwa kama yanatokea nje ya mahakama.

Ila ajue akiipiga kumbo itarudi kama ilivyorudi DR batili.
 
k
Barua hii kumhusu Komando Ling'wenya itakuwa imeutafsiri uwanja mzima rasmi kabisa kwa jinsi ulivyo.

Hakuna kisichofahamika tena. Hii ni vita kamili.

Vita vya haki dhidi ya dhuluma. Vita vya wanaothamini haki za watu yakiwamo maisha ya akina Luteni Urio, Moses Lijenje na wenzao, dhidi ya wenye ubinafsi wao wenye kupitiliza.

"Vita ni vita Mura!"

Tumesikia "mahakamani si kwa mama zetu." Bila shaka "mahakamani ni kwa mama zao." Wao pia, kumbe ni mawakili wa mahakama.

Zimeombwa tu, Movement Order (MO), Station Diary (SD) na Occurrence Book (OB) kwa ajili ya kumkagua D/C Msemwa. kimeumana! Hakuna kuwaachia.

View attachment 2025203

"Waombeni pia na ma CCTV recordings njia yote RAU - Moshi - Arusha - Dar - Mbweni. Pia data kama hizo tokea makampuni ya simu."

Ipelekwe miito ya kuwaita wote na vyote vinavyoweza kusaidia kuthibitisha lolote. Asiachwe mtu au kitu tafadhali.

Iwe ni Hangaya, Sirro, Urio, Ahadi, Chungulu, Sabaya, Lijenje, nk. Tuonane Kizimbani. Vigezo na masharti yakizingatiwa.

Wanahofia nini nyendo za D/C Msemwa kuhakikiwa?

Si kuwa ni kwa sababu: "the guilty are always afraid?"

--------
Kesi ya Mbowe: Kwa minajili ya haki Mbivu na Mbichi zote zianikwe
punguza hasira, kwenye kesi hakutakiwi hasira, hata hivyo mnaokuwa na hasira ni ninyi laymen, ila mawakili wasomi huwa hawatawaliwi na hasira na kutapatapa. nashauri mawakili wa mbowe wazingatie zaidi taaluma na ufundi wa kisheria kuliko siasa kama za hawa wanachadema mbofumbofu.
 
k

punguza hasira, kwenye kesi hakutakiwi hasira, hata hivyo mnaokuwa na hasira ni ninyi laymen, ila mawakili wasomi huwa hawatawaliwi na hasira na kutapatapa. nashauri mawakili wa mbowe wazingatie zaidi taaluma na ufundi wa kisheria kuliko siasa kama za hawa wanachadema mbofumbofu.

Hasira unazisoma wapi wewe usiyekuwa layman wala mwanaccm mbofumbofu?

😂😂

Hiiiiii bagosha!
 
Hii kesi iwe ni ya kughushi au hapana lakini maamuzi yake yatakuwa na mianya mingi sana.

Huwa najiuliza kwanini hao wakamataji hawakusubiri hadi hatua za wazi ushahidi pasi na shaka?

Walicho fanya kina sababisha raia wengi tuone kuwa serikali inaonea baadhi ya raia wake.

Haya ngoja tuone.
 
Hii kesi iwe ni ya kughushi au hapana lakini maamuzi yake yatakuwa na mianya mingi sana.

Huwa najiuliza kwanini hao wakamataji hawakusubiri hadi hatua za wazi ushahidi pasi na shaka?

Walicho fanya kina sababisha raia wengi tuone kuwa serikali inaonea baadhi ya raia wake.

Haya ngoja tuone.

Serikali inayoonea raia wake kwa uhalali wa nani?

Serikali hii inapaswa kujitafakari sana.
 
Mkuu au utakuwa umesoma hapa?

"Nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha hao wanichukiao."

Kutoka 20:1 -->

Ahsante kwa kunikumbusha. Ubarikiwe na Bwana
 
Back
Top Bottom