johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,780
- 141,667
Nimeona Chadema na washirika wao ACT wazalendo mara kwa mara wakimtaka Rais Samia amwachie huru Freeman Mbowe eti kwa sababu kesi hiyo inaitia doa serikali ya awamu ya sita.
Swali: Kwa mujibu wa katiba ni nani mwenye huo uwezo wa " kutokuwa" na nia ya kuendelea na kesi yoyote kwa niaba ya JMT?
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Swali: Kwa mujibu wa katiba ni nani mwenye huo uwezo wa " kutokuwa" na nia ya kuendelea na kesi yoyote kwa niaba ya JMT?
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!