Kupuuza kutoridhika (resentments) kwa watu si jambo la afya.
Yamesemwa mengi, au labda wakuu hawafikishiwi?
Misahafu inasema, ukweli usiposemwa itafika wakati hata mawe nayo yataongea.
Hatimaye mawakili wa serikali wameyatamka mahakamani wao wenyewe:
Bila shaka sasa habari hii itakuwa imeeleweka vyema zaidi kwa mawakili hawa na pia imewafikia Jaji Tiganga na wakuu serikalini.
Kwani enyi mnaojitanabaisha kwa jina "serikali," mnamwakilisha nani?
Kumbukeni, kesi hii huku mtaani inawachafua.
Habari ndiyo hiyo.
-------
Kesi ya Mbowe: Mchezo wa Paka na Panya kwa Maslahi ya nani?
Yamesemwa mengi, au labda wakuu hawafikishiwi?
Misahafu inasema, ukweli usiposemwa itafika wakati hata mawe nayo yataongea.
Hatimaye mawakili wa serikali wameyatamka mahakamani wao wenyewe:
Bila shaka sasa habari hii itakuwa imeeleweka vyema zaidi kwa mawakili hawa na pia imewafikia Jaji Tiganga na wakuu serikalini.
Kwani enyi mnaojitanabaisha kwa jina "serikali," mnamwakilisha nani?
Kumbukeni, kesi hii huku mtaani inawachafua.
Habari ndiyo hiyo.
-------
Kesi ya Mbowe: Mchezo wa Paka na Panya kwa Maslahi ya nani?