Kesi ya Mbowe: Kutoridhika kwa Watu kusipuuzwe

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
27,821
35,811
Kupuuza kutoridhika (resentments) kwa watu si jambo la afya.

Yamesemwa mengi, au labda wakuu hawafikishiwi?

Misahafu inasema, ukweli usiposemwa itafika wakati hata mawe nayo yataongea.

Hatimaye mawakili wa serikali wameyatamka mahakamani wao wenyewe:

IMG_20211201_100533_325.jpg


Bila shaka sasa habari hii itakuwa imeeleweka vyema zaidi kwa mawakili hawa na pia imewafikia Jaji Tiganga na wakuu serikalini.

Kwani enyi mnaojitanabaisha kwa jina "serikali," mnamwakilisha nani?

Kumbukeni, kesi hii huku mtaani inawachafua.

Habari ndiyo hiyo.

-------
Kesi ya Mbowe: Mchezo wa Paka na Panya kwa Maslahi ya nani?
 
kwa hiyo na mahakama ni "mchongo"?!

hawa wafuasi wa mboe wanadhalilisha mamlaka sana! dawa yao inaendelea kuchemka.
 
Hii kesi Mama Samia kupitia kwa DPP aachane nayo, itaianika Serikali yake vibaya na Jaji anayesikiliza ana wakati mgumu mno, tumhurumie.

Kuna sikio waliliita kwa jina lake tofauti na haya mengine ...
 
Hii kesi ni ya kimkakati na tayari hukumu wanayo mifukoni! huyo bibi ni shetani zaidi ya mwendazake.
Ila ajue naye mwisho wake utakuwa mchungu kuliko wa huyo mtangulizi wake. Mungu hadhihakiwi,wanatumia mamilioni ya kodi zetu kutunga kesi hii na kuwatesa watu wasio na hatia ili kufikia malengo yao ya kishetani Mungu hawezi kuwaacha lazima watapata pigo kubwa sana.
 
Ila ajue naye mwisho wake utakuwa mchungu kuliko wa huyo mtangulizi wake. Mungu hadhihakiwi,wanatumia mamilioni ya kodi zetu kutunga kesi hii na kuwatesa watu wasio na hatia ili kufikia malengo yao ya kishetani Mungu hawezi kuwaacha lazima watapata pigo kubwa sana.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app

Malipo ni hapa hapa duniani ..
 
Hii kesi Mama Samia kupitia kwa DPP aachane nayo, itaianika Serikali yake vibaya na Jaji anayesikiliza ana wakati mgumu mno, tumhurumie.
Amani ya Nchi ni ya Muhimu zaidi kuliko mboe na genge lake.
 
Kupuuza kutoridhika (resentments) kwa watu si jambo la afya.

Yamesemwa mengi, au labda wakuu hawafikishiwi?

Misahafu inasema, ukweli usiposemwa itafika wakati hata mawe nayo yataongea.

Hatimaye mawakili wa serikali wameyatamka mahakamani wao wenyewe:

View attachment 2029183

Bila shaka sasa habari hii itakuwa imeeleweka vyema zaidi kwa mawakili hawa na pia imewafikia Jaji Tiganga na wakuu serikalini.

Kwani enyi mnaojitabaisha kwa jina "serikali," mnamwakilisha nani?

Kumbukeni, kesi hii huku mtaani inawachafua.

Habari ndiyo hiyo.

-------
Kesi ya Mbowe: Mchezo wa Paka na Panya kwa Maslahi ya nani?
Mpaka kieleweke
 
kwa hiyo na mahakama ni "mchongo"?!

hawa wafuasi wa mboe wanadhalilisha mamlaka sana! dawa yao inaendelea kuchemka.
Mbulu kenge wewe ambaye hata kiandika hujui !!Unauwezo kuwafanya nini zaidi ya kujikomba hapo LUMUMBA upate kula!!
 
Back
Top Bottom