Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,013
- 26,326
Kesi ya kubumba,ushahidi wa uongo , citation za kimakosaMaelezo mengine ni kama mnaingilia sana mahakama,nadhani tungeacha tuone maamuzi ya mh jaji.
Futa kesi
Kesi ya kubumba,ushahidi wa uongo , citation za kimakosaMaelezo mengine ni kama mnaingilia sana mahakama,nadhani tungeacha tuone maamuzi ya mh jaji.
Mnara wa babeliMungu anawaonya hawaonyeki,,, kawapiga upofu wanakuja kushtukia makosa ya uandaaji wa mashitaka wakiwa mahakami!!! Mungu ni mkubwa sana
"WRONG CITATION" kwa wasiojua maana yake ni kumshitaki au kufanya maamuzi ya kisheria kwa kutumia SHERIA ISIYOSIMAMA na KOSA ANALOTUHUMIWA ÑALO MTUHUMIWA au KUFANYA MAAMUZI YA HUKUMU kwa SHERIA ISIYOKUWEPO...
Katika scenario hii ya leo ni kwamba shahidi Na. 8 wa upande wa mashitaka ambaye ni askari Polisi Jumanne aliwakamata na kuwapekua watuhumiwa na kuchukua [seize] mali zao kinyume cha sheria au kwa kutumia sheria isiyosimamia mchakato huo...
Na ktk kuthibitisha kuwa huyu polisi alifanya kosa la kisheria, katika maelezo yake akanukuu sheria au kifungu sheria cha sheria alichotumia kimakosa au ambacho hakipo kabisa ktk sheria za Tanzania...
Duuh, what a fatal mistake is this...!!!
Sasa ngoja tuone, Jaji atawasaidia vipi jamhuri....
Huwa hawana akili sawa sawaMATAGA huwezi kuwaona hapa wakichangia chochote
Aione kwenye jalada jaji tigangaNajazia kidogo mkuu......,,
It was accentuated by the full bench of the court of Appeal in the case of China Henan vs Salvand K.A Rwegasira "Once the application is based on wrong legal foundation, it is bound to collapse".
A square circleNi nchi pekee duniani ambapo ni possible to draw a SQUARE CIRCLE
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kuwa makini na wavaa ushungiMawazo yako tu hayo Mkuu. Mama ana roho mbaya kuliko hata Jiwe. Sema kauficha kwenye ushungi.