johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,445
Kesi ya Ugaidi inayomkabili mwenyekiti wa CHADEMA Mh Mbowe itakuwa ni darasa zuri la Sheria kwa wanaopenda kujifunza kwa njia ya vitendo siyo nadharia.
Sisi wahenga tulijifunza mengi katika kesi ya Uhaini iliyowakabili hawa akina Hans Pope wa Simba na wenzake waliotuhumiwa kutaka kumpindua Rais Nyerere wakati ule
Darasa lingine dogo la Sheria liko pale Arusha kwenye kesi ya Ole Sabaya
Mungu ni mwema wakati wote!
Sisi wahenga tulijifunza mengi katika kesi ya Uhaini iliyowakabili hawa akina Hans Pope wa Simba na wenzake waliotuhumiwa kutaka kumpindua Rais Nyerere wakati ule
Darasa lingine dogo la Sheria liko pale Arusha kwenye kesi ya Ole Sabaya
Mungu ni mwema wakati wote!