Kesi ya Mbowe: Haki Haikuonekana Kutendeka

Haki haijawahi kujificha.

Jaji Siyani kwa kujiridhisha kuwa:

1. Mshitakiwa wa pili alikamatwa akawasaidia polisi kumtafuta Mosses Lijenje Moshi, Boma Ng'ombe hadi Arusha,
2. Njiani wakapata mishikaki na Mo Energy,
3. Mshitakiwa wa pili akatoa maelezo kwa ridhaa yake ndani ya masaa 4 yaliyowekwa kwa mujibu wa sheria,
4. Kwamba madai ya kuteswa kwa washitakiwa yalikuwa ni porojo tu,

Kama ilivyo kwa misahafu kuweza kutumika kufikia hitimisho lolote, ama kwa hakika Jaji Siyani hakubakia nyuma:

1. Jaji hakutaka kujishughulisha kujua walikuwa wapi wahanga wengine wa yaliyosemekana mateso Moses Lijenje au Luteni Urio,
2. Jaji hakutaka kujishughulisha wala kuhitaji uthibitisho wa madaktari kujiridhisha madai ya kuteswa ya washitakiwa.

"Kwa hukumu hii Sirro, Kingai, Mahita na polisi kwa ujumla mmepewa leseni ya kuuwa nzi. Kuwa uweni nzi wote popote mtakapowaona. Jaji Kiongozi mpya kawapa ruksa hiyo."

Haki kuonekana hadharani ikiporwa ni pigo kwa utawala wa sheria.

Kwa hakika leo imekuwa ni siku mbaya kabisa kwa mahakama na utawala wa sheria hapa nchini.
Watu wameishapata promotion zA vyeo lazima waminye haki lkn wajue hawawez kuwa viongozi milele na malipo hapa hapa dunian
 
Hukumu zote za haki, benefit of doubts huamriwa "in favor" ya washitakiwa. Ndiyo maana Zombe na washitakiwa wenziwe waliachiwa huru.

Kwamba kuna mashaka hukumu inatoka "in favor" ya upande wa mashtaka? Hii mbona mpya? Ni haki kuwaachia washitakiwa 10 panapo mashaka kuliko kumfunga 1 pasipo na uhakika.

Jaji Siyani kathibitisha kwa nini katiba mpya ni dharura sana.

Kwa katiba hii mahakama ni chombo cha dola - instrument of the state.

Haki tukwipate wapi?
Huyu BWANA Hata leo ALIPO anajua alichokifanya Sio Cha HAKI ,Mambo ya ajabu ,hivi Hata viapo vyao hawaogopi
 
Kwa Sabaya mnakenua meno haki imetendeka ,kwa Mbowe haki haikutendeka.
Acheni kuingilia Uhuru wa Mahakama kenge nyinyi.
Ndugu zangu wafuasi wa chadema mnapofurahia uamuzi wa kesi za Sabaya ,kuweni na akiba ya maneno.Wafuasi wa sabaya wameumia sana.Na nyie jiandaeni kuumia.Tuache mahakama itende haki .Halafu ,Kibatala hataki kesi ya msingi.Anataka vichochoro tu.Mwambieni twendeni kwenye kesi sasa.PGO sio kesi.Halafu Mbelgiji anayejua kila kitu mbona haji .?Magufuli alishakufa.
 
Haki haijawahi kujificha.

Jaji Siyani kwa kujiridhisha kuwa:

1. Mshitakiwa wa pili alikamatwa akawasaidia polisi kumtafuta Mosses Lijenje Moshi, Boma Ng'ombe hadi Arusha,
2. Njiani wakapata mishikaki na Mo Energy,
3. Mshitakiwa wa pili akatoa maelezo kwa ridhaa yake ndani ya masaa 4 yaliyowekwa kwa mujibu wa sheria,
4. Kwamba madai ya kuteswa kwa washitakiwa yalikuwa ni porojo tu,

Kama ilivyo kwa misahafu kuweza kutumika kufikia hitimisho lolote, ama kwa hakika Jaji Siyani hakubakia nyuma:

1. Jaji hakutaka kujishughulisha kujua walikuwa wapi wahanga wengine wa yaliyosemekana mateso Moses Lijenje au Luteni Urio,
2. Jaji hakutaka kujishughulisha wala kuhitaji uthibitisho wa madaktari kujiridhisha madai ya kuteswa ya washitakiwa.

"Kwa hukumu hii Sirro, Kingai, Mahita na polisi kwa ujumla mmepewa leseni ya kuuwa nzi. Kuwa uweni nzi wote popote mtakapowaona. Jaji Kiongozi mpya kawapa ruksa hiyo."

Haki kuonekana hadharani ikiporwa ni pigo kwa utawala wa sheria.

Kwa hakika leo imekuwa ni siku mbaya kabisa kwa mahakama na utawala wa sheria hapa nchini.

Watu tumieni hata 25% tu ya brains mlizopewa na Mungu wenu. Testimony ya criminal defendant kwenye kesi yake mwenyewe katu sio ya kulalia mlango wazi.

Nampongeza sana judge kwa kuing’amua emotional manipulation iliyokuwa inafanywa na criminal defendants ili kujinasua huku wakiliacha Jeshi la Polisi na image iliyoharibika kupindukia. Judge ameshakutana na crooks wa kila aina; haingizwi mjini kirahisi.
 
Hukumu zote za haki, benefit of doubts huamriwa "in favor" ya washitakiwa. Ndiyo maana Zombe na washitakiwa wenziwe waliachiwa huru.

Kwamba kuna mashaka hukumu inatoka "in favor" ya upande wa mashtaka? Hii mbona mpya? Ni haki kuwaachia washitakiwa 10 panapo mashaka kuliko kumfunga 1 pasipo na uhakika.

Jaji Siyani kathibitisha kwa nini katiba mpya ni dharura sana.

Kwa katiba hii mahakama ni chombo cha dola - instrument of the state.

Haki tukwipate wapi?

Mkuu, ukiijua dola kwa marefu na mapana yake huwezi kusema mahakama sio chombo cha dola.

Remember, government is an element (agency) of the state and it consists of three branches: executive, legislative and judiciary.
 
Watu tumieni hata 25% tu ya brains mlizopewa na Mungu wenu. Testimony ya criminal defendant kwenye kesi yake mwenyewe katu sio ya kulalia mlango wazi.

Nampongeza sana judge kwa kuing’amua emotional manipulation iliyokuwa inayofanywa na criminal defendants ili kujinasua huku wakiliacha Jeshi la Polisi na image iliyoharibika kupindukia. Judge ameshakutana na crooks wa kila aina; haingizwi mjini kirahisi.
Kwa hiyo ameiokoa image ya jeshi la polisi na aibu💔! Vipi kuhusu image ya mahakama?
 
Haki haijawahi kujificha.

Jaji Siyani kwa kujiridhisha kuwa:

1. Mshitakiwa wa pili alikamatwa akawasaidia polisi kumtafuta Mosses Lijenje Moshi, Boma Ng'ombe hadi Arusha,
2. Njiani wakapata mishikaki na Mo Energy,
3. Mshitakiwa wa pili akatoa maelezo kwa ridhaa yake ndani ya masaa 4 yaliyowekwa kwa mujibu wa sheria,
4. Kwamba madai ya kuteswa kwa washitakiwa yalikuwa ni porojo tu,

Kama ilivyo kwa misahafu kuweza kutumika kufikia hitimisho lolote, ama kwa hakika Jaji Siyani hakubakia nyuma:

1. Jaji hakutaka kujishughulisha kujua walikuwa wapi wahanga wengine wa yaliyosemekana mateso Moses Lijenje au Luteni Urio,
2. Jaji hakutaka kujishughulisha wala kuhitaji uthibitisho wa madaktari kujiridhisha madai ya kuteswa ya washitakiwa.

"Kwa hukumu hii Sirro, Kingai, Mahita na polisi kwa ujumla mmepewa leseni ya kuuwa nzi. Kuwa uweni nzi wote popote mtakapowaona. Jaji Kiongozi mpya kawapa ruksa hiyo."

Haki kuonekana hadharani ikiporwa ni pigo kwa utawala wa sheria.

Kwa hakika leo imekuwa ni siku mbaya kabisa kwa mahakama na utawala wa sheria hapa nchini.
kwa sabaya mahakama imetenda haki kwa mbowe hatuna mahakama, hivi nyie nazichadema huwa hamnaga na kitu kinacho itwa haya?
 
Kwa hiyo ameiokoa image ya jeshi la polisi na aibu! Vipi kuhusu image ya mahakama?

Kazi yake sio kuokoa image ya Polisi. Ana wajibu wa kuamua bila undue influence. Emotional manipulation iliyokuwa ikifanywa na criminal defendants imegonga mwamba wa mahakama!
 
Huyu BWANA Hata leo ALIPO anajua alichokifanya Sio Cha HAKI ,Mambo ya ajabu ,hivi Hata viapo vyao hawaogopi

Haki haijifichi ziko wapi pongezi au shamra shamra kwa hukumu hii?

Ushahidi dhahiri kuwa adui yetu siyo CCM bali:

IMG_20210911_000004_180.jpg


Walioiteka nyara nchi. Wapo nyuma ya usukani huo. Wana misuli minene na uwezo wa kupoteza watu.

A small bunch of hooligans.
 
Watu tumieni hata 25% tu ya brains mlizopewa na Mungu wenu. Testimony ya criminal defendant kwenye kesi yake mwenyewe katu sio ya kulalia mlango wazi.

Nampongeza sana judge kwa kuing’amua emotional manipulation iliyokuwa inayofanywa na criminal defendants ili kujinasua huku wakiliacha Jeshi la Polisi na image iliyoharibika kupindukia. Judge ameshakutana na crooks wa kila aina; haingizwi mjini kirahisi.
Mahakamani sio kichochoroni nani atawahi kumkaba mwenzie amuibie simu.

Mahakamani ni uwanja wa sheria, toa fact zako iangaliwe sheria inasemaje jibu lipatikane, hapa hatuangalii maoni ya mtu kama tupo kwenye michango ya harusi.
 
kwa sabaya mahakama imetenda haki kwa mbowe hatuna mahakama, hivi nyie nazichadema huwa hamnaga na kitu kinacho itwa haya?

Humu tulimo kwenye mihimili isiyo huru, takrima za teuzi na teuzi za takrima:

1. Mahakama ikitenda haki mara 9 haina maana haiwezi kutotenda haki mara 1.

2. Hali kadhalika mahakama kutotenda haki mara 9 hakuna maana haiwezi kutenda haki mara 1.

Kesi ya SABAYA, Zombe, Rugemalira, au Sheikh Ponda zinahusika vipi hapa? Au unataka kuonyesha kuwa kesi ya SABAYA ilikuwa chanjo cha kuhalalisha haramu?

Upumbavu kweli ni kipaji - alisema Nyerere. Hata hivyo cha kwako na u genius umo!
 
Mkuu, ukiijua dola kwa marefu na mapana yake huwezi kusema mahakama sio chombo cha dola.

Remember, government is an element (agency) of the state and it consists of three branches: executive, legislative and judiciary.

Kuna mambo yanakera - meant, chombo cha serikali - instrument of the executive yaani ule mhimili uliojichimbia zaidi.

Hii haikubaliki.
 
Kwa Sabaya haki ilikuwa inatendeka vizuri ila kwa mbowe hakuna haki kweli ni amini upinzani wa bongo mmejaa unafiki na kulalamika na kuihinikiza mahakama itende mnavyotaka nyie
 
Kwa Sabaya mnakenua meno haki imetendeka ,kwa Mbowe haki haikutendeka.
Acheni kuingilia Uhuru wa Mahakama kenge nyinyi.
Hivi unaweza kulinganisha Sabaya na nini!? Ok unaona wengi wanavyoshughulika na kesi ya Mwamba wa siasa za kistaarabu Africa!? Hebu jitokeze umtetee sabaya tukuone we mbwiga!!
 
Kazi yake sio kuokoa image ya Polisi. Ana wajibu wa kuamua bila undue influence. Emotional manipulation iliyokuwa ikifanywa na criminal defendants imegonga mwamba wa mahakama!

Ni aibu kwa mahakama kwamba kajiridhisha eti pasi na shaka kuwa:

"Maelezo ya watuhumiwa mikononi kwa polisi ambao hawaelezi aliko Moses Lijenje au Luteni Urio kuwa yalitolewa forthcoming na watumishi kwa ridhaa yao."

Hata mtoto mdogo anajua jaji hajawa fair.

Kwa kweli tunahitaji katiba mpya itakayo ainisha nani na vipi tunakuwa na majaji watako amua kesi kwa haki na haki tupu si kwa visingizio.

Kwa hakika Jaji Siyani ameonyesha kesi hii na bila shaka hatua zake zote tangia mwanzo hukumu hazitoki mahakamani.
 
Kazi yake sio kuokoa image ya Polisi. Ana wajibu wa kuamua bila undue influence. Emotional manipulation iliyokuwa ikifanywa na criminal defendants imegonga mwamba wa mahakama!
Huo wajibu wa kuamua bila undue influence ndio ameupora.

Kile cheo alichopewa katikati ya kazi kilikuwa ni sawa na "undue influence" na kimeyaathiri maamuzi yake.
 
Kama ilivyo kwa misahafu kuweza kutumika kufikia hitimisho lolote, ama kwa hakika Jaji Siyani hakubakia nyuma:

1. Jaji hakutaka kujishughulisha kujua walikuwa wapi wahanga wengine wa yaliyosemekana mateso Moses Lijenje au Luteni Urio,
2. Jaji hakutaka kujishughulisha wala kuhitaji uthibitisho wa madaktari kujiridhisha madai ya kuteswa ya washitakiwa.
Huyu jaji tayari 'alishahongwa' na mamlaka ya duniani
Ole wao siku ya kiama, ole wao wanaokandamiza wengine kwa tamaa za dunia!
'
Ni kheri wangefungiwa jiwe la shingoni na kutoswa ktk kina cha bahari kuliko adhabu watakayokutana nayo jehenam' Pole sana Mbowe, Mungu ni mwema siku zote😭😭😭😭😭
 
Back
Top Bottom