Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,324
- 18,479
Watashindwa ushahidi wa kuokoteza hauwezi mtia mtu hatiani Case study wazee wa escrow na uhamsho.Badala ya risasi 36 huyu wangemlipua kwa bomu kabisa angebaki majivu tu
Watashindwa ushahidi wa kuokoteza hauwezi mtia mtu hatiani Case study wazee wa escrow na uhamsho.Badala ya risasi 36 huyu wangemlipua kwa bomu kabisa angebaki majivu tu
😲Takribani mashahidi wanne hadi sasa wameshatoa ushahidi wao lakini kati ya hao wote sijaona ushahidi wenye nguvu ya kuwatia hatiani watuhumiwa wa ugaidi.
Shahidi badala ya kuthibitisha uhusiano wa silaha iliyokamatwa na mtuhumiwa anakuja kutuambia silaha zilizokamatwa ni nzima kwani silaha kuwa nzima ni uthibitisho kuwa hiyo silaha ni ya mtuhumiwa.
Shahidi anasema alikutana na Mbowe January 2020 akiwa na gari la KUB wakati Mbowe alinyang’anywa gari tangu 2019 na January 2020 alikuwa mahabusu.
Shahidi anasema saini zinatofautiana kwasababu zingine alisaini akiwa amesimama zingine akiwa amekaa.
Mwingine anasema hakumbuki rangi ya shati maana hakuvaa miwani lkn aliweza kuona rangi ya bastola na kusoma namba zake.
Shahidi mwingine anasema watuhumiwa walipanga kulipua vituo vya mafuta, kukata miti, kupulizia viongozi sumu na kuua viongozi, walipoulizwa mliwakuta na vilipuzi hakuna, mapanga au shoka za kukatia miti hakuna, kuna vituo vya mafuta vilivyolipuliwa hakuna, kuna kiongozi kauawa hakuna.
Labda kama wamepanga kumfunga Mbowe wamfunge tu tujue moja lkn kwa ushahidi huu wa kuhisi kwa kesi kubwa kama hii ni kumuonea bure.
Uko sahihi Adamu Kasekwa pamoja na kuonyesha makovu alivyoteswa Jaji akaja kusema hakuna aliyeteswa.La muhimu kwenye kesi feki si mashahidi bali jaji. Laiti Jamhuri wangekuwa na nia ya kuachana na kesi hii ingeshafutwa kitambo. Plan is kumfunga Mbowe kisha Samia atoe msamaha kama ule wa kwa UAMSHO ikidhaniwa atapata political mileage.
Ni kosa kwa kiongozi kuongelea mambo yalio mahakamani ni kama vile Ramaphosa ahojiwe makosa ya Zuma haitakuja kutokea akasema ana makosa mpaka mahakama ndio zithibitishwe sasa huku kwetu uteuzi wa Jaji katikati ya kesi unategemea nini hapo...huyu mwingine usishangae akiteuliwa ubalozi akaja Jaji mwingine tena...Nchi ya ajabu sana hii na ukiangalia mwenendo wa hii kesi inahakisi uwezo wetu wa akili ulipogota..Mpaka leo bado sijaelewa lengo mahsusi la yale mahojiano kati Salim Kikeke na huyu Mama! Na wakati huo huo mchakato wa kesi ukiwa unaendelea mahakamani.
The way alivyokuwa anajieleza mbele ya camera siku ile! Namna alivyo elezea kwa kujiamini!, na ukija kwenye uhalisia! unaona kabisa aina ya Mtawala tuliye naye.
Kutuma si shida,shida ni lengo la kutuma.Kutuma pesa ni ugaidi?
😂😂😂😂😂Exactly, hakuna irresistible inference kuwa kulikuwa na Deal ya ugaidi! Mfanohuyu wa Jana hata Mbowe hamjui, ushahidi wake ulimhusu Nani?
Lengo lazima lithibitishwe.Kutuma si shida,shida ni lengo la kutuma.
Kunakitu kinatafutwa.
Kwa ajili ya haraka wamesahau hata jina na saini la aliemsajilia line.Hadi unatia huruma. Hiyo laini ya simu iliyotuma hela wewe ndio ulimsajilia? Unajua unaweza kuwa fala lakini ukiwa mtulivu, wachache sana watajua wewe ni fala ila fala akiwa kama ulivyo wewe, kila mtu atajua tu wewe ni fala.
Safari bado wao wanajua kituo Cha kutia nanga.Lengo lazima lithibitishwe.
Kwa hiyo Mbowe haruhusiwi kutuma pesa kwa kutumia simu yake?Hizo pesa alizotuma hachomoki, technology ni kitu nyingine.
Ungemuuliza moja kwa moja yeye angekupa jibu.Kwa hiyo Mbowe haruhusiwi kutuma pesa kwa kutumia simu yake?
Kibatala: kwahiyo tuseme original source za details za mboye zimetoka NIDALegal officer wa Tigo anasema alimtambua Mbowe kupitia NIDA.
Hiyo namba yenyewe kwamba ni ya Mbowe full maluweluwe...Kutuma si shida,shida ni lengo la kutuma.
Kunakitu kinatafutwa.
Kama wewe ndiye Jaji anayesikiliza kesi basi sawa!Takribani mashahidi wanne hadi sasa wameshatoa ushahidi wao lakini kati ya hao wote sijaona ushahidi wenye nguvu ya kuwatia hatiani watuhumiwa wa ugaidi.
Shahidi badala ya kuthibitisha uhusiano wa silaha iliyokamatwa na mtuhumiwa anakuja kutuambia silaha zilizokamatwa ni nzima kwani silaha kuwa nzima ni uthibitisho kuwa hiyo silaha ni ya mtuhumiwa.
Shahidi anasema alikutana na Mbowe January 2020 akiwa na gari la KUB wakati Mbowe alinyang’anywa gari tangu 2019 na January 2020 alikuwa mahabusu.
Shahidi anasema saini zinatofautiana kwasababu zingine alisaini akiwa amesimama zingine akiwa amekaa.
Mwingine anasema hakumbuki rangi ya shati maana hakuvaa miwani lkn aliweza kuona rangi ya bastola na kusoma namba zake.
Shahidi mwingine anasema watuhumiwa walipanga kulipua vituo vya mafuta, kukata miti, kupulizia viongozi sumu na kuua viongozi, walipoulizwa mliwakuta na vilipuzi hakuna, mapanga au shoka za kukatia miti hakuna, kuna vituo vya mafuta vilivyolipuliwa hakuna, kuna kiongozi kauawa hakuna.
Labda kama wamepanga kumfunga Mbowe wamfunge tu tujue moja lkn kwa ushahidi huu wa kuhisi kwa kesi kubwa kama hii ni kumuonea bure.
Na hata sehemu ilikosajiliwa.Kwa ajili ya haraka wamesahau hata jina na saini la aliemsajilia line.
Hicho kinachotafutwa lazima kiwe proved beyond reasonable doubts. Lazima ushahidi usiache chembe ya shaka.Kutuma si shida,shida ni lengo la kutuma.
Kunakitu kinatafutwa.
Takribani mashahidi wanne hadi sasa wameshatoa ushahidi wao lakini kati ya hao wote sijaona ushahidi wenye nguvu ya kuwatia hatiani watuhumiwa wa ugaidi.
Shahidi badala ya kuthibitisha uhusiano wa silaha iliyokamatwa na mtuhumiwa anakuja kutuambia silaha zilizokamatwa ni nzima kwani silaha kuwa nzima ni uthibitisho kuwa hiyo silaha ni ya mtuhumiwa.
Shahidi anasema alikutana na Mbowe January 2020 akiwa na gari la KUB wakati Mbowe alinyang’anywa gari tangu 2019 na January 2020 alikuwa mahabusu.
Shahidi anasema saini zinatofautiana kwasababu zingine alisaini akiwa amesimama zingine akiwa amekaa.
Mwingine anasema hakumbuki rangi ya shati maana hakuvaa miwani lkn aliweza kuona rangi ya bastola na kusoma namba zake.
Shahidi mwingine anasema watuhumiwa walipanga kulipua vituo vya mafuta, kukata miti, kupulizia viongozi sumu na kuua viongozi, walipoulizwa mliwakuta na vilipuzi hakuna, mapanga au shoka za kukatia miti hakuna, kuna vituo vya mafuta vilivyolipuliwa hakuna, kuna kiongozi kauawa hakuna.
Labda kama wamepanga kumfunga Mbowe wamfunge tu tujue moja lkn kwa ushahidi huu wa kuhisi kwa kesi kubwa kama hii ni kumuonea bure.
Kweli kabisa Mkuu.Ni kosa kwa kiongozi kuongelea mambo yalio mahakamani ni kama vile Ramaphosa ahojiwe makosa ya Zuma haitakuja kutokea akasema ana makosa mpaka mahakama ndio zithibitishwe sasa huku kwetu uteuzi wa Jaji katikati ya kesi unategemea nini hapo...huyu mwingine usishangae akiteuliwa ubalozi akaja Jaji mwingine tena...Nchi ya ajabu sana hii na ukiangalia mwenendo wa hii kesi inahakisi uwezo wetu wa akili ulipogota..