Wabobezi wa siasa za kimataifa na hata Mwendazake, walishatutahadharisha kuwa nchi hii ni tajiri sana. Inayoweza kuwa donar country, kwa manufaa ya jamii kama itapata viongozi na wanasiasa wanaojitambua na kuthamini sovereignty yetu .Safi sana Mabalozi.
This is an indication that the world is against CCM.
Tuone sasa watawafanya nini.
Niwaambie tu, siku CCM ikitoka madarakani, misaada kutoka kwa Nchi Wahisani inaweza kuongezeka kwa asilimia 50 mpaka 100, na hata baadhi ya madeni tunaweza kusamehewa kabisa.
CCM wanaharibu sana hii nchi, na wanaligharimu sana Taifa hili na watu wake kwa kukosa busara,maarifa na hekima za kuongoza hii nchi.
Mawazo ya kutegemea misaada kutoka nje ni mawazo ya ukakasi au ya 'kimakolokolo', yanayokaririwa sana na wanasiaswetu uchwara waliobobea kuchumia viriba tumbo vyao, badala ya kupigania utu, uhuru na maslahi mapana ya jamii.
Hakuna msaada wa bure aslani hapa duniani...anayeonekana kukusaidia ujue ana kikubwa cha kunyakua kutoka kwako... kama unataka kuliwa, liwa mwenyewe na sisi tuendelee kubaki salama salimini.