Kesi ya Mbowe: Aliyekuwa Waziri wa Ulinzi, Dkt. Hussein Mwinyi atajwa kumtumia pesa Mtuhumiwa

Hii kesi itavua Watu nguo saana, nakiri nilikua sahihi kusali usiku na mchana isifutwe.

Muda huu kwenye cross examination, Mtobesya anamtaja Aliyewahi kuwa Waziri wa Ulinzi Ndugu Mwinyi kuwa alimtumia pesa Mtuhumiwa ndugu Bwire...
Mchezo wa siasa za kitoto za Chadema za kila siku. Jaji anamuuliza Wakili wa Chadema Malya unatoa wapi maekezo hayo.? Hasemi zimetolewa na kampuni ya simu ila anasema ameambiwa na mteja wake, yaani mshtakiwa. Halafu unataka tujadili nini hapa.

Maelezo mangapi yanatolewa na washtakiwa wakiwa mahakamani na baadaye kigundulika ni ya uongo? Yaani utoe maelezo mwenyewe na utoe hukumu mwenyewe kwamba maelezo yako ni sahihi.? Tuachane na ushabiki wa kitoto wa kisiasa .Tuache mahakama ifanye kazi yake na mbivu zitajulikana.
 
Hii kesi itavua Watu nguo saana, nakiri nilikua sahihi kusali usiku na mchana isifutwe.

Muda huu kwenye cross examination, Mtobesya anamtaja Aliyewahi kuwa Waziri wa Ulinzi Ndugu Mwinyi kuwa alimtumia pesa Mtuhumiwa ndugu Bwire...
Ugumu wa hili somo kueleweka uko wapi? Testimony (au maelezo) ya criminal defendant sio ya kulalia mlango wazi. Objective kubwa ya criminal defendant ni kujinasua!
 
Mchezo wa siasa za kitoto za Chadema za kila siku. Jaji anamuuliza Wakili wa Chadema Malya unatoa wapi maekezo hayo.? Hasemi zimetolewa na kampuni ya simu ila anasema ameambiwa na mteja wake, yaani mshtakiwa. Halafu unataka tujadili nini hapa...
Wewe sio akili nene bali nyembamba! Unaona jibu la wakili Mallya ndilo jibu bora kwa wakati huu?

Ukifika wakati watadhibitisha wao kuwa Mwinyi alituma pesa kwa Bwire kwa kumuita Rais Mwinyi kizimbani kama shahidi wa utetezi. Jee unadhani State watapenda hilo litokee? Kwamba Rais wa Zanzibar aje atoe ushahidi chini ya kiapo?

Kwa taarifa yako, kunusuru hali hiyo ni kwa kesi hii kuondolewa kisayansi kwa jaji kuamua NO CASE TO ANSWER baada ya prosecution kumaliza ushahidi wao.

Vikao vya kunusuru aibu hii vimefanyika usiku huu.
 
Wewe sio akili nene bali nyembamba! Unaona jibu la wakili Mallya ndilo jibu bora kwa wakati huu?

Ukifika wakati watadhibitisha wao kuwa Mwinyi alituma pesa kwa Bwire kwa kumuita Rais Mwinyi kizimbani kama shahidi wa utetezi. Jee unadhani State watapenda hilo litokee? Kwamba Rais wa Zanzibar aje atoe ushahidi chini ya kiapo...
Elewa kuwa sheria ya ushahidi ni zaidi ya kumtaja mtu. Ni lazima mshtakiwa awake ushahidi na vielelezo vya musababisha mtu huyo kuitwa mahakamani kwa ushahid.

Siyo kila anayetajwa na mshtakiwa anatakiwa kufika mahakamani. Leo mstakiwa akimtaja Rais Samia, Majaliwa, Rais Biden, au mtu yoyote wa cheo chochote basi ni lazima huyo mtu aletwe mahakamani eti tu kwa sababu ametajwa? Siyo.
 
Elewa kuwa sheria ya ushahidi ni zaidi ya kumtaja mtu. Ni lazima mshtakiwa awake ushahidi na vielelezo vya musababisha mtu huyo kuitwa mahakamani kwa ushahid. Siyo kila anayetajwa na mshtakiwa anatakiwa kufika mahakamani. Leo mstakiwa akimtaja Rais Samia, Majaliwa, Rais Biden, au mtu yoyote wa cheo chochote basi ni lazima huyo mtu aletwe mahakamani eti tu kwa sababu ametajwa? Siyo.

..anaanza kutajwa mtu.

..halafu vielelezo / ushahidi kufuata.

..mahakama inao wajibu wa kuhakikisha watuhumiwa wanapatiwa vielelezo vyote wanavyovihitaji ktk kujitetea.

..particularly, kama Khalfan Bwire atahitaji taarifa za miamala aliyopokea toka kwa Hussein Mwinyi mahakama inatakiwa iwaelekeze Airtel kumpatia taarifa hizo.

..Kwa upande mwingine upande wa mashtaka unatakiwa uthibitishe kwamba fedha alizotumiwa Khalfan Bwire zilitumika ktk makosa ambayo jamhuri inamtuhumu.
 
Nyepesi nyepesi, na za ndani kwa ndani tunakwenda kujua kwa Nini Raisi aliyekuwa Waziri wa Ulinzi wa Tanzania alimtumia mmoja wa Makomando waliokuwa kwenye mission ya Ugaidi na Mbowe itakwenda julikana .

Unaambiwa Mh Rais na komandoo walikuwa ni bonge la Wana,je waelewa kauli ya Bonge la Wana?

Stay tuned, soon utaelewa hata kama uelewi.

Je ubonge la Wana yawezekana Rais nae alikuwa anaungana na Mbowe kutengeneza ugaidi nchini Tanganyika?maana kwenye kesi ya Mbowe hakuna sehemu hata moja ilitajwa huko zanzabar yakuwa ilitakiwa izuliwe Ili kuanzisha vulumai nchi histawalike.

Je Mh Raisi akiwa Waziri alikula njama na Mbowe Ili wawatumie Makomando kuasisi ugaidi Ili Tanganyika histawalike?

Kesi hii Ina mengi, nashauri mlio pewa mamlaka mchurame mambo yaishe ila wafukunuku tutaendelea kufukunyuaaaaaa mengi
 
Ahsante kwa taarifa.

Yaani Mheshimiwa rais Hussein Ali Mwinyi kutoa msaada wa pesa kidogo kwa mtu aliekuwa anahudumu kwenye wizara yake ndio iwe nongwa???

Eti hii inaletwa kama hoja mahakamani?? No wonders jaji kasema watuhumiwa wanayo kesi ya kujibu.

Haya Sisi tupo na yetu ni macho na masikio.
 
Back
Top Bottom