Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,152
- 45,822
Jiwe anaogopa kunyongaNaona hukumu nyingine kama sio maisha ni kunyongwa tena
Jiwe anaogopa kunyongaNaona hukumu nyingine kama sio maisha ni kunyongwa tena
Mali za urithi
Kabisa mkuuNinamuamini dada yangu tulionyonya ziwa moja kuliko mke, huyo Bilionea alikuwa sahihi kumuentrust dada yake zile mali kuliko mke
Mke ukilost anasepaaMke hapana, hawa kusaliti na kukufanyia sio inabidi kujiandaa tu
Mke ukilost anasepaa
HaaahaaaaUkiwa hauna hela utaona anajifanya anakerwa na vitu ambavyo ukiwa na hela hakuambii kuwa unamkera
UFALME WA MBINGUNI UKO NDANI YA MWANADAMU WALAHIMakafara ya utajiri na utafutaji Mali mwisho wake uwa mbaya sana..
Damu inamwagika mpaka kizazi cha tatu yote sababu ya mali.
Ni rahisi Ngamia kupenya katika tundu la Sindano , kuliko tajiri kuona ufalme wa mungu.
UFALME WA MBINGUNI UKO NDANI YA MWANADAMU WALAHI
TAFAKARI, acha uwoga!
Haaahaaaa
Ninakuelewa mkuuKuna watu achana nao kwenye mambo ya hela aisee
Ndipo utajua kuwa inafaa tuishi kwa tahadhari sana hakika bila tahadhari hiyo ndio matokeo yake. Tuchukue hii shule aysee..Dah! maskini watoto baba kauliwa, mama kafungwa kwa kumuu shangazi, watoto wanachukizwa na muuaji wa baba wanajikuta wametoka kwenye tumbo la muuaji, wanaenda kwa babu wanamkuta mtoto wa shangazi amabe ni marehemu kifo kimesababishwa na mama yao mama yao nae ni muuaji, aisee kuna familia zina pitia kipindi kigumu sna jamani.