Kesi ya Masheikh yaitwa Mahakama Kuu

Sep 19, 2019
43
383
Bismillahir Rahmanir Rahiim

SHURA YA MAIMAMU TANZANIA

MASHEIKH WAITWA MAHAKAMA YA RUFAA TANZANIA

Habari njema. Baada ya Jamhuri kukata rufaa dhidi ya uamuzi wa Mahakama Kuu wa kuyafuta mashitaka 14, kati ya 25, na kufanya kesi dhidi ya Masheikh ibaki na mashitaka 11, Mahakama ya Rufani leo tarehe 30. 04. 20021, imewasilisha hati ya wito kwa Mawakili wanaowatetea Masheikh.

Kwa mujibu wa hati hiyo ya wito Mahakama ya Rufani imepanga kuisikiza rufaa hiyo tarehe 07. 05. 2021, siku ya Ijumaa saa 3, asubuhi mbele ya Majaji wa Rufaa watatu.

Hatua hii ya haraka ya Mahakama inaashiria kuwepo kwa dhamira ya mapinduzi katika utendaji wa Mahakama Tanzania na tunaimani mwendo huo utakuwa endelevu.

Shura ya Maimamu Tanzania tunawaomba wananchi kuwa karibu na kesi hizi za ugaidi zilizofunguliwa na serikali dhidi ya Waislamu takriban nchi nzima.

Ust. Ibrahim Z. Mkondo
Msemaji wa Shura.
0713118812
 
Hawa ni MAGAIDI

kwasababu:-

•Waliwamwagia Watalii tindikali huko Zenji

•Waliuwa Watalii watatu Mombasa

•Walimmwagia Padri tindikali kule Zanzibar

•Wanataka kusimamisha dola inayopingana na BAKWATA na BALUKTA, Dola ya kiislam chinja chinja itakayoua makafiri endapo hawatasilimu, dola itakayoleta Mahakama ya kadhi

•Walipishana mpaka na Waislam wenzao

• Walichoma Kanisa

• Walitrain vijana kujifunza karate, kutumia jambia na bunduki katika kufanya ugaidi na mfano mzuri ni RASHIDI CHARLES MBERESERO, ambaye naye alishtakiwa huko Kenya na akajiua hivi majuzi.

•Wanajifanya wanapigana jihad kumbe Jihad Ugoro, jihad ya sasa ni ya Nafsi tu

Wasiachiwe Hawa ni hatari kwa Amani ya nchi yetu.

Amani ikipotea sio kazi rahisi kuirudisha, wasianzishe vikundi vya kigaidi kama huko Msumbiji, Somalia, Kenya n.k

Magaidi Matupu.
 
Hawa ni MAGAIDI

kwasababu:-

•Waliwamwagia Watalii tindikali huko Zenji

•Waliuwa Watalii watatu Mombasa

•Walimmwagia Padri tindikali kule Zanzibar

•Wanataka kusimamisha dola inayopingana na BAKWATA na BALUKTA, Dola ya kiislam chinja chinja itakayoua makafiri endapo hawatasilimu, dola itakayoleta Mahakama ya kadhi

•Walipishana mpaka na Waislam wenzao

•Wanajifanya wanapigana jihad kumbe Jihad Ugoro, jihad ya sasa ni ya Nafsi tu

Wasiachiwe Hawa ni hatari kwa Amani ya nchi yetu.

Amani ikipotea sio kazi rahisi kuirudisha, wasianzishe vikundi vya kigaidi kama huko Malawi, Somalia n.k

Magaidi Matupu.
Haya ndio makosa yao kumbe?
 
Katika moja ya matendo maovu na kuvunja kaki za binadamu yaliyokuwa yanafanywa na utawala wa huko nyuma ni Haya, Yaani mtu unateswa na kupewa kifungo hata kabla mahakama haijakuhukumu, HILI NI KOSA KUBWA SANA NA KWA MAUMIVU WALIYOYAPATA HAWA, MUNGU AWEZA TOA HUKUMU MBAYA KWA WALIOSABABISHA MATESO HAYA, FIKIRIA RUMANDE MIAKA 8, HII HAIPO MAHALI POPOTE DUNIANI HATA GUANTANAMO BAY YA MAREKANI HAIJAIFIKIA
 
Hawa ni MAGAIDI

kwasababu:-

•Waliwamwagia Watalii tindikali huko Zenji

•Waliuwa Watalii watatu Mombasa

•Walimmwagia Padri tindikali kule Zanzibar

•Wanataka kusimamisha dola inayopingana na BAKWATA na BALUKTA, Dola ya kiislam chinja chinja itakayoua makafiri endapo hawatasilimu, dola itakayoleta Mahakama ya kadhi

•Walipishana mpaka na Waislam wenzao

•Wanajifanya wanapigana jihad kumbe Jihad Ugoro, jihad ya sasa ni ya Nafsi tu

Wasiachiwe Hawa ni hatari kwa Amani ya nchi yetu.

Amani ikipotea sio kazi rahisi kuirudisha, wasianzishe vikundi vya kigaidi kama huko Malawi, Somalia n.k

Magaidi Matupu.

Wewe utakua ni mu Israel
 
Hawa ni MAGAIDI

kwasababu:-

•Waliwamwagia Watalii tindikali huko Zenji

•Waliuwa Watalii watatu Mombasa

•Walimmwagia Padri tindikali kule Zanzibar

•Wanataka kusimamisha dola inayopingana na BAKWATA na BALUKTA, Dola ya kiislam chinja chinja itakayoua makafiri endapo hawatasilimu, dola itakayoleta Mahakama ya kadhi

•Walipishana mpaka na Waislam wenzao

•Wanajifanya wanapigana jihad kumbe Jihad Ugoro, jihad ya sasa ni ya Nafsi tu

Wasiachiwe Hawa ni hatari kwa Amani ya nchi yetu.

Amani ikipotea sio kazi rahisi kuirudisha, wasianzishe vikundi vya kigaidi kama huko Malawi, Somalia n.k

Magaidi Matupu.
Kama ni wao waliotekeleza hayo mambo hawastahili kutoka.
 
Bismillahir Rahmanir Rahiim

SHURA YA MAIMAMU TANZANIA

MASHEIKH WAITWA MAHAKAMA YA RUFAA TANZANIA

Habari njema. Baada ya Jamhuri kukata rufaa dhidi ya uamuzi wa Mahakama Kuu wa kuyafuta mashitaka 14, kati ya 25, na kufanya kesi dhidi ya Masheikh ibaki na mashitaka 11, Mahakama ya Rufani leo tarehe 30. 04. 20021, imewasilisha hati ya wito kwa Mawakili wanaowatetea Masheikh.

Kwa mujibu wa hati hiyo ya wito Mahakama ya Rufani imepanga kuisikiza rufaa hiyo tarehe 07. 05. 2021, siku ya Ijumaa saa 3, asubuhi mbele ya Majaji wa Rufaa watatu.

Hatua hii ya haraka ya Mahakama inaashiria kuwepo kwa dhamira ya mapinduzi katika utendaji wa Mahakama Tanzania na tunaimani mwendo huo utakuwa endelevu.

Shura ya Maimamu Tanzania tunawaomba wananchi kuwa karibu na kesi hizi za ugaidi zilizofunguliwa na serikali dhidi ya Waislamu takriban nchi nzima.

Ust. Ibrahim Z. Mkondo
Msemaji wa Shura.
0713118812

Mwenye lake jambo hayupo. Tutegemee rufaa kutupiliwa mbali.

Masheikh wasipokula Idd uraiani muda mfupi baada ya sikukuu watakuwa huru.

Kwa katiba tuliyo nayo ogopa sana maelekezo kutoka juu.
 
Katika moja ya matendo maovu na kuvunja kaki za binadamu yaliyokuwa yanafanywa na utawala wa huko nyuma ni Haya, Yaani mtu unateswa na kupewa kifungo hata kabla mahakama haijakuhukumu, HILI NI KOSA KUBWA SANA NA KWA MAUMIVU WALIYOYAPATA HAWA, MUNGU AWEZA TOA HUKUMU MBAYA KWA WALIOSABABISHA MATESO HAYA, FIKIRIA RUMANDE MIAKA 8, HII HAIPO MAHALI POPOTE DUNIANI HATA GUANTANAMO BAY YA MAREKANI HAIJAIFIKIA
Walikamatwa awamu ya ngapi?
 
Jamuhuri inaitaji mashaidi, sasa ndio muende high court kutoa ushaidi Dada angu na uyo shoga yako

Vipi tena sheikh mbona lugha ngumu katika hoja nyepesi? Ingependeza wewe unaojua ukapeleka ushahidi mahakamani kwamba hawahusiki.

Mimi binafsi napinga wanayofanyiwa hao masheikh ila kama narudia kusema tena kama walifanya hizo tuhuma basi wapate wanachostahili...Ugaidi ni hatari sana mkuu tusipepepese macho.
 
Vipi tena sheikh mbona lugha ngumu katika hoja nyepesi? Ingependeza wewe unaojua ukapeleka ushahidi mahakamani kwamba hawahusiki.

Mimi binafsi napinga wanayofanyiwa hao masheikh ila kama narudia kusema tena kama walifanya hizo tuhuma basi wapate wanachostahili...Ugaidi ni hatari sana mkuu tusipepepese macho.
Tanzania hakuna ugaidi, na hakujawai tokea matendo ya kigaidi, vyombo vya ulinzi vipo makini, na kingine asili ya watanzania ni waoga na wanyenyekevu, hao masheikh issue yao walikuwa wanapinga muungano, na serikali imeapa kuulinda muungano kwa namna yoyote ile
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom