Kesi ya masheikh wa Uamsho vs Kesi ya Mauaji ya Lulu: Haki iko Mbinguni

Ebale

JF-Expert Member
Apr 20, 2016
943
1,682
Najaribu kuunganisha Kesi ya maimamu wa uamsho na Kesi ya mauaji ya Lulu aliyetoka kwa Msamaha Leo. Hawa masheikh hawajaua wala kumuibia mtu. Huu ni mwaka wa nne wako ndani, haijulikani mwisho wao.

Binafsi sioni tofauti ya walichokifanya hawa masheikh na waraka wa Maaskofu Wa KKKT, au anachofanya askofu Kakobe au Gwajima! Ama hakika haki iko mbinguni na siku ya hukumu ipo
 
tofauti IPO maana hawa maaskofu walitoa waraka na masheik waliambiwa waharifu japo tuachie mahakama ndo itoe jibu .
 
Ahlu Badir ilitosha kusawazisha mambo juu ya yeyote anaye husika kukandamiza haki sasa ninyi siku hizi hayo mambo mmeyaweka kapuni sijui kwa nini? au siku hizi hayana nguvu tena?
kipozeo
IMAM wa msikiti
@na wengineo
 
Najaribu kuunganisha Kesi ya maimamu wa uamsho na Kesi ya mauaji ya Lulu aliyetoka kwa Msamaha Leo. Hawa masheikh hawajaua wala kumuibia mtu. Huu ni mwaka wa nne wako ndani, haijulikani mwisho wao.
Binafsi sioni tofauti ya walichokifanya Hawa masheikh na waraka wa Maaskofu Wa KKKT, au anachofanya askofu Kakobe au Gwajima! Ama hakika haki iko mbinguni na siku ya hukumu ipo
Kesi ya lulu sio kubwa kama inayoshikilia hao mashekhe
 
Tatizo lako ni kuwa unataka kuwaaminisha watu kuwa kuna dini flan inaonewa. Usije kwa mlango huo kwani kila mtu ana masahibu yake. Kule Segerea wapo waliofungwa kwa kuonewa tu nao wapo humo miaka kadhaa zaidi ya hao.
Lulu na Kakobe au maaskofu ni wapi na wapi?? Hivi ingelikuwa mtawala wa huko Zenji ni mkatoliki mngelipigia kelele mbingu ipi?? Hiyo hukumu yako ya mbinguni tuna haja gani nayo wakati tunajua kuwa hatuhitaji tena uhuru tukiishafika humo?? Acheni serekali iamue cha kuwafanyia.
 
Funga maisha kabisa hao magaidi

Walihamasisha sana kuchoma makanisa huko Zanzibar

Mapadre walikuwa wanashambuliwa na risasi hadi mmoja akauliwa sababu ya chuki waliokuwa wameijenga kwenye jamii dhidi ya ukristo na utanganyika

Hawa acha waendelee kunyea ndoo hadi akili zikae sawa
 
Najaribu kuunganisha Kesi ya maimamu wa uamsho na Kesi ya mauaji ya Lulu aliyetoka kwa Msamaha Leo. Hawa masheikh hawajaua wala kumuibia mtu. Huu ni mwaka wa nne wako ndani, haijulikani mwisho wao.
Binafsi sioni tofauti ya walichokifanya Hawa masheikh na waraka wa Maaskofu Wa KKKT, au anachofanya askofu Kakobe au Gwajima! Ama hakika haki iko mbinguni na siku ya hukumu ipo

Unajifanya umesahau matukio ya mauaji, uchomaji moto makanisa na kumwagiana tindi kali Zanzibar!?!
 
Najaribu kuunganisha Kesi ya maimamu wa uamsho na Kesi ya mauaji ya Lulu aliyetoka kwa Msamaha Leo. Hawa masheikh hawajaua wala kumuibia mtu. Huu ni mwaka wa nne wako ndani, haijulikani mwisho wao.
Binafsi sioni tofauti ya walichokifanya Hawa masheikh na waraka wa Maaskofu Wa KKKT, au anachofanya askofu Kakobe au Gwajima! Ama hakika haki iko mbinguni na siku ya hukumu ipo
Kesi ya lulu,ni mauaji ya watu binafsi,hakuna maslahi ya Nchi hapo,it is just two simple person were involved.
Swala la mashekh,linahusisha harakati zinazochochea uasi wa wananchi dhidi ya serikali,
Hiyo ni uhaini,na ukitegemea muelekeo wa dunia kwa sasa,chokochoko yoyote kutoka upande wa dini hiyo,inahusishwa moja kwa moja na ugaidi,
Kwahiyo tofauti ya hizo kesi mbili ni kama mbingu na ardhi
 
Back
Top Bottom