Azim Sokoine
JF-Expert Member
- Aug 20, 2014
- 1,379
- 2,533
Habari comrades,
Najaribu kuwaza tu! Na nimejiuliza kwanini mahakama inamnyima Lema dhamana wakati kesi yake inastahili dhamana?
Je, kesi yake ni ya mauaji mpaka mahakama imnyime dhamana?
Hapa kweli hakuna kaharufu ka order kutoka juu?
Najaribu kuwaza tu! Na nimejiuliza kwanini mahakama inamnyima Lema dhamana wakati kesi yake inastahili dhamana?
Je, kesi yake ni ya mauaji mpaka mahakama imnyime dhamana?
Hapa kweli hakuna kaharufu ka order kutoka juu?