don-oba
JF-Expert Member
- Dec 8, 2011
- 1,387
- 677
Katika kesi iliyoanza jana kupinga matokeo ya ushindi wa mbunge wa ilemela, mahakama kuu ya kanda ya mwanza imeanza kumsikiliza shahidi Beatus Martin Madenge wa upande wa walalamikaji. Shahidi huyo aliyakataa maelezo aliyoyatoa katika hati ya mashtaka.
LISSU: Tuthibitishie hii ni sahihi yako-anamwonesha hati ya mashtaka.
SHAHIDI: ndio.
WAKILI: Sasa kwanini unayakataa maelezo uliyoyatoa?
SHAHIDI: kimya.
LISSU: Hati hii inaonesha ulikiri kupiga kura oct 31 2010 hapa unakataa.
SHAHIDI: sikupiga kura, nilizuiwa na vijana km 200 wa chadema.
LISSU: Kwanini Diallo hajafungua kesi, eleza endapo umepewa pesa au ulikua mgombea mwenza?.
SHAHIDI: Sikupewa pesa wala sikuwa mgombea mwenza.
LISSU: unaufahamu usemi, pilipili usiyoila wewe ikuwashie nini?.
SHAHIDI: kimya.
LISSU: Tuthibitishie hii ni sahihi yako-anamwonesha hati ya mashtaka.
SHAHIDI: ndio.
WAKILI: Sasa kwanini unayakataa maelezo uliyoyatoa?
SHAHIDI: kimya.
LISSU: Hati hii inaonesha ulikiri kupiga kura oct 31 2010 hapa unakataa.
SHAHIDI: sikupiga kura, nilizuiwa na vijana km 200 wa chadema.
LISSU: Kwanini Diallo hajafungua kesi, eleza endapo umepewa pesa au ulikua mgombea mwenza?.
SHAHIDI: Sikupewa pesa wala sikuwa mgombea mwenza.
LISSU: unaufahamu usemi, pilipili usiyoila wewe ikuwashie nini?.
SHAHIDI: kimya.