_
MALYA: Ulipojiunga na Jeshi la polisi ulikuwa na miaka mingapi?
SSP Ngichi: 28
MALYA: Kwa mujibu wa PGO ni sahihi kwamba mtu akiwa na miaka 28 haruhusiwi kujiunga na jeshi la Polisi?
SSP Ngichi: Inategemea na elimu yake
MALYA: Kesi unayoitolea ushahidi inahusiana na maswala ya uchaguzi, nyie kama wadau mlipewa elimu ya usimamizi wa uchaguzi?
SSP Ngichi: Natolea ushahidi kesi ya maandamano sio mambo ya uchaguzi
MALYA: Lakini hayo maandamano si yanatokana na uchaguzi?
SSP Ngichi: Ndio
MALYA: Ulipewa ratiba ya mikutano ya vyama vya siasa?
SSP Ngichi: Ndio
MALYA: Nani alikupatia?
SSP Ngichi: RPC Kinondoni
MALYA: Yeye alipewa na nani?
SSP Ngichi: Mkurugenzi wa Manispaa Kinondoni
MALYA: Kifungu cha 51 (5) cha sheria ya Uchaguzi kinamtaka Mkuu wa Wilaya ndiye awape polisi nakala ya Ratiba za kampeni. Kwa kifungu hiki, huoni kwamba mmevunja sheria?
SSP Ngichi: Kimya
MALYA: Vituo vya kupiga kura vilikuwa vingapi?
SSP Ngichi: Sikumbuki idadi yake
MALYA: RCO unasimamiaje uchaguzi ambao hujui hata idadi ya vituo?
SSP Ngichi: Vilikua zaidi ya hamsini
MALYA: Unafahamu mawakala lazima wale kiapo?
SSP Ngichi: Ndio
MALYA: Unafahamu kila mgombea anaweka utaratibu na Mkurugenzi wa namna mawakala wake kuapa?
SSP Ngichi: Ndio
MALYA: Kwahiyo mlifanya makosa kuvuruga mawakala wa Chadema kwenda kuapa?
SSP Ngichi: Walifanya maandamano
MALYA: Ulijuaje ni maandamano?
SSP Ngichi: Walivuka barabara
MALYA: kama walivuka barabara ulijuaje kama walikuwa wanafanya kampeni za nyumba kwa nyumba?
SSP Ngichi: Hazifanyiki barabarani
MALYA: Zinafanyika wapi?
SSP Ngichi: Nyumbani
MALYA: Ili ufike nyumbani unapita wapi?
SSP Ngichi: Barabarani
MALYA: Kwahiyo unakubali walikua wanavuka barabara ili wakafanye kampeni za nyumba kwa nyumba?
SSP Ngichi: Waliandamana
MALYA: Kwanini?
SSP Ngichi: Kwa sababu walikua na viongozi wao
MALYA: Wataje
SSP Ngichi: Heche, Matiko, Msigwa na wengine
MALYA: Unajua sifa za mtu kuwa wakala?
SSP Ngichi: Hapana
MALYA: Unajua kuwa Heche, Matiko na Msigwa walikua mawakala?
SSP Ngichi: Sifahamu
MALYA: Je unakubali kwamba viongozi hao walikua wanaongozana na mawakala wenzao kwenda kwa Mkurugenzi kula kiapo?
SSP Ngichi: Kimya
MALYA: Ulipojiunga na Jeshi la polisi ulikuwa na miaka mingapi?
SSP Ngichi: 28
MALYA: Kwa mujibu wa PGO ni sahihi kwamba mtu akiwa na miaka 28 haruhusiwi kujiunga na jeshi la Polisi?
SSP Ngichi: Inategemea na elimu yake
MALYA: Kesi unayoitolea ushahidi inahusiana na maswala ya uchaguzi, nyie kama wadau mlipewa elimu ya usimamizi wa uchaguzi?
SSP Ngichi: Natolea ushahidi kesi ya maandamano sio mambo ya uchaguzi
MALYA: Lakini hayo maandamano si yanatokana na uchaguzi?
SSP Ngichi: Ndio
MALYA: Ulipewa ratiba ya mikutano ya vyama vya siasa?
SSP Ngichi: Ndio
MALYA: Nani alikupatia?
SSP Ngichi: RPC Kinondoni
MALYA: Yeye alipewa na nani?
SSP Ngichi: Mkurugenzi wa Manispaa Kinondoni
MALYA: Kifungu cha 51 (5) cha sheria ya Uchaguzi kinamtaka Mkuu wa Wilaya ndiye awape polisi nakala ya Ratiba za kampeni. Kwa kifungu hiki, huoni kwamba mmevunja sheria?
SSP Ngichi: Kimya
MALYA: Vituo vya kupiga kura vilikuwa vingapi?
SSP Ngichi: Sikumbuki idadi yake
MALYA: RCO unasimamiaje uchaguzi ambao hujui hata idadi ya vituo?
SSP Ngichi: Vilikua zaidi ya hamsini
MALYA: Unafahamu mawakala lazima wale kiapo?
SSP Ngichi: Ndio
MALYA: Unafahamu kila mgombea anaweka utaratibu na Mkurugenzi wa namna mawakala wake kuapa?
SSP Ngichi: Ndio
MALYA: Kwahiyo mlifanya makosa kuvuruga mawakala wa Chadema kwenda kuapa?
SSP Ngichi: Walifanya maandamano
MALYA: Ulijuaje ni maandamano?
SSP Ngichi: Walivuka barabara
MALYA: kama walivuka barabara ulijuaje kama walikuwa wanafanya kampeni za nyumba kwa nyumba?
SSP Ngichi: Hazifanyiki barabarani
MALYA: Zinafanyika wapi?
SSP Ngichi: Nyumbani
MALYA: Ili ufike nyumbani unapita wapi?
SSP Ngichi: Barabarani
MALYA: Kwahiyo unakubali walikua wanavuka barabara ili wakafanye kampeni za nyumba kwa nyumba?
SSP Ngichi: Waliandamana
MALYA: Kwanini?
SSP Ngichi: Kwa sababu walikua na viongozi wao
MALYA: Wataje
SSP Ngichi: Heche, Matiko, Msigwa na wengine
MALYA: Unajua sifa za mtu kuwa wakala?
SSP Ngichi: Hapana
MALYA: Unajua kuwa Heche, Matiko na Msigwa walikua mawakala?
SSP Ngichi: Sifahamu
MALYA: Je unakubali kwamba viongozi hao walikua wanaongozana na mawakala wenzao kwenda kwa Mkurugenzi kula kiapo?
SSP Ngichi: Kimya