Kesi ya kina Mbowe: Wakili John Mallya naye alimbananisha SSP Ngichi

Sehemu ya mahojiano kati ya Wakili msomi John Malya na Mkuu wa upelelezi mkoa wa kipolisi Kinondoni, Mrakibu mwandamizi wa Polisi (SSP) Gerald Ngichi.

MALYA: Una miaka mingapi?

SSP Ngichi: 47

MALYA: Ulizaliwa mwaka gani?

SSP Ngichi: 1972

MALYA: Wakati unajiunga na Jeshi la Polisi ulikuwa na Miaka mingapi?

SSP Ngichi: Kimya

HAKIMU: Shahidi jibu tafadhali

MALYA: Kama hukumbuki nikusaidie?

SSP Ngichi: Nilikua na miaka 28

MALYA: Ulikuwa na taaluma gani?

SSP Ngichi: Degree ya Sheria

MALYA: Kwa mujibu wa PGO ni sahihi kwamba mtu akiwa na miaka 28 haruhusiwi kujiunga na jeshi la Polisi?

SSP Ngichi: Inategemea na elimu yake

MALYA: Kesi unayoitolea ushahidi inahusiana na maswala ya uchaguzi nyinyi kama wadau mlipewa elimu juu ya usimamizi wa uchaguzi?

SSP Ngichi: Natolea ushahidi kesi ya maandamano sio mambo ya uchaguzi

MALYA: Lakini hayo maandamano si yanatokana na uchaguzi?

SSP Ngichi: Ndio

MALYA: Ulipewa ratiba ya mikutano ya vyama vya siasa?

SSP Ngichi: Ndio

MALYA: Nani alikupatia?

SSP Ngichi: RPC Kinondoni

MALYA: Yeye alipewa na nani?

SSP Ngichi: Mkurugenzi wa Manispaa Kinondoni

MALYA: Kifungu cha 51 (5) cha sheria ya Uchaguzi kinamtaka Mkuu wa Wilaya ndiye awape polisi nakala ya Ratiba za kampeni. Kwa kifungu hiki, huoni kwamba mmevunja sheria?

SSP Ngichi: Kimya

MALYA: Vituo vya kupiga kura vilikuwa vingapi?

SSP Ngichi: Vingi sikumbuki idadi yake

MALYA: Unasimamiaje uchaguzi ambao hujui hata idadi ya vituo?

SSP Ngichi: Vilikua zaidi ya Hamsini

MALYA: Unafahamu mawakala lazima wale kiapo?

SSP Ngichi: Ndio

MALYA: Unafahamu kila mgombea anaweka utaratibu na Mkurugenzi wa namna mawakala wake kuapa?

SSP Ngichi: Ndio

MALYA: Kwahiyo mlifanya makosa kuvuruga mawakala wa Chadema kwenda kuapa?

SSP Ngichi: Walifanya maandamano yasiyo halali

MALYA: Ulijuaje ni maandamano?

SSP Ngichi: Walivuka barabara

MALYA: kama walivuka barabara ulijuaje kama walikuwa wanafanya kampeni za nyumba kwa nyumba?

SSP Ngichi: Hazifanyiki barabarani

MALYA: Zinafanyika wapi?

SSP Ngichi: Nyumbani

MALYA: Ili ufike nyumbani unapita wapi?

SSP Ngichi: Barabarani

MALYA: Kwahiyo unakubali walikua wanavuka barabara ili wakafanye kampeni za nyumba kwa nyumba?

SSP Ngichi: Waliandamana

MALYA: Kwanini?

SSP Ngichi: Kwa sababu walikua na viongozi wao

MALYA: Wataje

SSP Ngichi: Heche, Matiko, Msigwa na wengine

MALYA: Unajua sifa za mtu kuwa wakala?

SSP Ngichi: Hapana

MALYA: Unajua Heche alikua Wakala?

SSP Ngichi: Sifahamu

MALYA: Unajua Matiko alikua wakala?

SSP Ngichi: Sifahamu

MALYA: Unajua Msigwa alikua Wakala?

SSP Ngichi: Sifahamu

MALYA: Je unakubali kwamba viongozi hao walikua wanaongozana na mawakala wenzao kwenda kwa Mkurugenzi kula kiapo?

SSP Ngichi: Kimya


Hawa jamaa watamuua huyu SSP NGICHIView attachment 1098288
SSP:Kimya
HAKIMU:shahidi jibu tafadhali
MALYA:Kama hukumbuki nikusaidie
.........Hahaahaaaaa.......hapo ndipo nawapendea tuu hawa watu type ya kina MALYA.............,Hayo ni maswali magumu na yanahitaji majibu magumu na cyo majibu Mepesi kama ya SSP asiyekumbuka hata age.
 
Aliyesema bando leo ni muhimu kuliko pesa ya kula hakukosea,
Bado haibadilishi ukweli kwamba pamoja na mapungufu ya islams ila ukristo umejaa maigizo sana.
Hii sio mara ya kwanza kwa viongozi wa makanisa makubwa kukutwa na kashfa km hizo na tuhuma zilizothibitishwa.
Yeye gwajima amekuwa nani kuushinda huo "utelezi"

Nyie mnapenda sana vitu "vitamu"
Haaahaaahaa
Mkuu it's impossible militarily to put a military base with out protection from the soroundings fear foot soldiers who can attack your base Isreal use land mines or cluster bombs.....and UN had complained to Isreal to stop using those weapon but it has only given a deaf hear
Sio lazima uamini ninachokiamini mimi mkuu..!
Hapo mjengoni nako wanapiga posho tu

Matumizi yote atapanga jiwe
NA HAPO JAMAA KASOMEA SHERIA
ANGEKUA LAYMAN SIJUI INGEKUAJE
 
Sehemu ya mahojiano kati ya Wakili msomi John Malya na Mkuu wa upelelezi mkoa wa kipolisi Kinondoni, Mrakibu mwandamizi wa Polisi (SSP) Gerald Ngichi.

MALYA: Una miaka mingapi?

SSP Ngichi: 47

MALYA: Ulizaliwa mwaka gani?

SSP Ngichi: 1972

MALYA: Wakati unajiunga na Jeshi la Polisi ulikuwa na Miaka mingapi?

SSP Ngichi: Kimya

HAKIMU: Shahidi jibu tafadhali

MALYA: Kama hukumbuki nikusaidie?

SSP Ngichi: Nilikua na miaka 28

MALYA: Ulikuwa na taaluma gani?

SSP Ngichi: Degree ya Sheria

MALYA: Kwa mujibu wa PGO ni sahihi kwamba mtu akiwa na miaka 28 haruhusiwi kujiunga na jeshi la Polisi?

SSP Ngichi: Inategemea na elimu yake

MALYA: Kesi unayoitolea ushahidi inahusiana na maswala ya uchaguzi nyinyi kama wadau mlipewa elimu juu ya usimamizi wa uchaguzi?

SSP Ngichi: Natolea ushahidi kesi ya maandamano sio mambo ya uchaguzi

MALYA: Lakini hayo maandamano si yanatokana na uchaguzi?

SSP Ngichi: Ndio

MALYA: Ulipewa ratiba ya mikutano ya vyama vya siasa?

SSP Ngichi: Ndio

MALYA: Nani alikupatia?

SSP Ngichi: RPC Kinondoni

MALYA: Yeye alipewa na nani?

SSP Ngichi: Mkurugenzi wa Manispaa Kinondoni

MALYA: Kifungu cha 51 (5) cha sheria ya Uchaguzi kinamtaka Mkuu wa Wilaya ndiye awape polisi nakala ya Ratiba za kampeni. Kwa kifungu hiki, huoni kwamba mmevunja sheria?

SSP Ngichi: Kimya

MALYA: Vituo vya kupiga kura vilikuwa vingapi?

SSP Ngichi: Vingi sikumbuki idadi yake

MALYA: Unasimamiaje uchaguzi ambao hujui hata idadi ya vituo?

SSP Ngichi: Vilikua zaidi ya Hamsini

MALYA: Unafahamu mawakala lazima wale kiapo?

SSP Ngichi: Ndio

MALYA: Unafahamu kila mgombea anaweka utaratibu na Mkurugenzi wa namna mawakala wake kuapa?

SSP Ngichi: Ndio

MALYA: Kwahiyo mlifanya makosa kuvuruga mawakala wa Chadema kwenda kuapa?

SSP Ngichi: Walifanya maandamano yasiyo halali

MALYA: Ulijuaje ni maandamano?

SSP Ngichi: Walivuka barabara

MALYA: kama walivuka barabara ulijuaje kama walikuwa wanafanya kampeni za nyumba kwa nyumba?

SSP Ngichi: Hazifanyiki barabarani

MALYA: Zinafanyika wapi?

SSP Ngichi: Nyumbani

MALYA: Ili ufike nyumbani unapita wapi?

SSP Ngichi: Barabarani

MALYA: Kwahiyo unakubali walikua wanavuka barabara ili wakafanye kampeni za nyumba kwa nyumba?

SSP Ngichi: Waliandamana

MALYA: Kwanini?

SSP Ngichi: Kwa sababu walikua na viongozi wao

MALYA: Wataje

SSP Ngichi: Heche, Matiko, Msigwa na wengine

MALYA: Unajua sifa za mtu kuwa wakala?

SSP Ngichi: Hapana

MALYA: Unajua Heche alikua Wakala?

SSP Ngichi: Sifahamu

MALYA: Unajua Matiko alikua wakala?

SSP Ngichi: Sifahamu

MALYA: Unajua Msigwa alikua Wakala?

SSP Ngichi: Sifahamu

MALYA: Je unakubali kwamba viongozi hao walikua wanaongozana na mawakala wenzao kwenda kwa Mkurugenzi kula kiapo?

SSP Ngichi: Kimya


Hawa jamaa watamuua huyu SSP NGICHIView attachment 1098288
Nguchi atapiga ngumi mtu aise
 
Back
Top Bottom