Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 4,809
- 6,342
Uko sahihi, wanamaanisha Kamishna wa Viapo (Commissioner for Oaths). Mimi naamini kwamba kuwa Wakili ni jambo moja, na ku-survive kwenye game ni jambo lingine, ingawa ukijituma kufanikiwa ni kwepesi sana.Yuko wakili mmoja muhaya anaitwa Kamugisha anaendesha daladala lake.
Mawakili wadogo wadogo huwa wanamfuata awagongee nini sijui, wanamuitaga kamishna.
Wanaviziaga vituoni!