Bubu Msemaovyo
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 3,832
- 2,790
Yule mwanamke anayedai kuzaa na IGP mstaafu Omary Mahita amewaomba wasamaria wema kumsaidia fedha kwa ajili ya kupima DNA ili kumaliza utata kuhusu uhalali wa Mahita kuwa ndiye Baba mzazi wa mtoto, ambaye Mahita anakana kuwa siye baba mzazi. Wana JF hili mnalionaje?