johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,872
- 141,805
Je, katika zama hizi za utandawazi kuna haja ya kuwa na wabunge wa viti maalumu?
Kwa mfano kikundi chenye wakinamama 19 kimeingia Bungeni kienyeji kabisa lakini Kanuni za Bunge zimewalinda
Kwenye Katiba mpya tuwakatae wabunge wa aina hii. Kwa mfano Halima Mdee Wananchi wamamkataa jimboni Kwake lakini yuko bungeni kwa kupitia njia za Panya, dhambi hii haivumiliki duniani kote
Kwa mfano kikundi chenye wakinamama 19 kimeingia Bungeni kienyeji kabisa lakini Kanuni za Bunge zimewalinda
Kwenye Katiba mpya tuwakatae wabunge wa aina hii. Kwa mfano Halima Mdee Wananchi wamamkataa jimboni Kwake lakini yuko bungeni kwa kupitia njia za Panya, dhambi hii haivumiliki duniani kote