Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,600
- 217,997
Kuna haja ya kulivunja jeshi la polisi
yaani kuchukua watu wenye leaving certificate ni ujinga mkubwa, mtu anapoteza muda wa kuwahudumia watu kwa kwenda kutoa ushahidi wa kijinga jinga kila kitu afahamu, afahamu asa kilicho mpeleka pale ni nini?Kuna haja ya kulivunja jeshi la polisi
Usikonde mkuu , mwisho wa ccm ndio mwisho wa jeshi la polisi , tutatimua wote tuanze upyayaani kuchukua watu wenye leaving certificate ni ujinga mkubwa, mtu anapoteza muda wa kuwahudumia watu kwa kwenda kutoa ushahidi wa kijinga jinga kila kitu afahamu, afahamu asa kilicho mpeleka pale ni nini?
Kazi ya kipuuuzi sana, na huyo bwana ni mpuuzi pia
Hii imenikumbusha utani huu!Umeelewa nilichoandika??Nikisema ndugu zetu nimetaja upande gani??
Huenda ni agizo toka kwa malaikaYeye kila kitu hafahamu sasa ameenda kufanya nini?
Ujue humu ukiandika jambo watu wanatafsir kisiasaHa ha ha so genius!
Ili iweje???Kina Shangazi watapigwa na nani??Kuna haja ya kulivunja jeshi la polisi
cc Mshana Jrwapare wanapenda kesi ila Bwana Msangi umetia aibu wapare
"Sifaham!"Yeye kila kitu hafahamu sasa ameenda kufanya nini?
Kibatala-je unafahamu kwamba magu yeye anachukulia poa tu na wala hana time na halima yeye yupo busy kuwashunghulikia wanaoikosoa ndege yake?
RCO-nafahamu Hilo jukumu kakabidhiwa Bashite mkuu wa kitengo cha watu wasiofahamika.
Kibatala-je unadhani hii kesi inatija kwa taifa?
RCO-Sifahamu.
Kibatala-unafkili ni kwanini wapinzani wamelundikiwa mashtaka mengi ya hovyo hovyo mahakamani?
RCO-Ni maagizo kutoka juu,maana tunajaribu kutumia mbinu za kagame.
Kibatala-unadhani watanzania wanafurahia wawakilishi wao kulundikiwa kesi na kushitakiwa kila Leo?
Rco-nadhani hawapendi ila ndio hivyo tena.
Kibatala-ukiwa kwenye gari yako,oficin na nyumbani kwako ni nyimbo gani hupendelea zaidi kuisikiliza?
RCO-CCM mbele kwa mbele.
kibatala-asante sana shaidi.
Rco-you're welcome.
ha ha haaa Naipenda Jf kwa Moyo wangu woteeKibatala-je unafahamu kwamba magu yeye anachukulia poa tu na wala hana time na halima yeye yupo busy kuwashunghulikia wanaoikosoa ndege yake?
RCO-nafahamu Hilo jukumu kakabidhiwa Bashite mkuu wa kitengo cha watu wasiofahamika.
Kibatala-je unadhani hii kesi inatija kwa taifa?
RCO-Sifahamu.
Kibatala-unafkili ni kwanini wapinzani wamelundikiwa mashtaka mengi ya hovyo hovyo mahakamani?
RCO-Ni maagizo kutoka juu,maana tunajaribu kutumia mbinu za kagame.
Kibatala-unadhani watanzania wanafurahia wawakilishi wao kulundikiwa kesi na kushitakiwa kila Leo?
Rco-nadhani hawapendi ila ndio hivyo tena.
Kibatala-ukiwa kwenye gari yako,oficin na nyumbani kwako ni nyimbo gani hupendelea zaidi kuisikiliza?
RCO-CCM mbele kwa mbele.
kibatala-asante sana shaidi.
Rco-you're welcome.
pamoja na usaha uliojaa kichwani mwako . kuna case ya kushinda hapo? wewe unashida kweli!Ila wakishinda kesi mnasema mahakama inewapendelea
Hunishindi mimi mkuu.ha ha haaa Naipenda Jf kwa Moyo wangu wotee