Langu
Member
- Nov 20, 2011
- 37
- 9
Habari wana JF,
Kuna hii kesi iliyotajwa hapo juu, inayohusiana na sheria ya madhara yanayowezakusababishwa na wazalishaji kama viwanda dhidi ya wateja wao.
Mwenye uelewa zaidi wa hii kesi anaweza akatuadithia na kuangalia maamuzi yake ilivyoamliwa,
Na pia kama kuna kesi za dizaini hii hapa Tanzania zishawahi amuliwa.
Siku njema wapendwa katika bwana.
Kuna hii kesi iliyotajwa hapo juu, inayohusiana na sheria ya madhara yanayowezakusababishwa na wazalishaji kama viwanda dhidi ya wateja wao.
Mwenye uelewa zaidi wa hii kesi anaweza akatuadithia na kuangalia maamuzi yake ilivyoamliwa,
Na pia kama kuna kesi za dizaini hii hapa Tanzania zishawahi amuliwa.
Siku njema wapendwa katika bwana.