Mr pianoman
JF-Expert Member
- May 22, 2019
- 2,548
- 6,102
Kesi inayomkabili mfanyabiashara Hamisi Luwongo ya kumuua mke wake Naomi Marijani kwa makusudi kwa kumchoma moto magunia ya mkaa imeiva.
Jalada la kesi hiyo sasa limehamishiwa mahakama kuu kanda ya Dar es Salaam na inatarajiwa kuanza kusikiliza mashahidi 28 wa Jamuhuri na vielelezo sita ikiwemo ramani ya tukio na ripoti ya mkemia mkuu wa serikali.
Chanzo: NIPASHE
Jalada la kesi hiyo sasa limehamishiwa mahakama kuu kanda ya Dar es Salaam na inatarajiwa kuanza kusikiliza mashahidi 28 wa Jamuhuri na vielelezo sita ikiwemo ramani ya tukio na ripoti ya mkemia mkuu wa serikali.
Chanzo: NIPASHE