Kesi ya akina Mbowe ina manufaa gani kwetu CCM, mbona haitupi any political mileage?

Imesaidia yafuatayo

i)Hakuna Uhuru wa mahakama Tanzakiza

ii)sheria kuvunjwa waziwazi(Police,mawakili wa serikali & jaji)

iii)Uzwazwa wa majaji na mawakili wa serikali licha ya kujifanya wasomi na watu wenye weledi

iv)Ukatili wa police-CCM na Uongo wao

v) JWTZ nako hakuna haki

Mengine GT wataongeza
Yaani aibu naona mm kuitwa mtz huku chama langu ndo lipo madarakani
 
CCM inahusika vipi na hii kesi ya Mbowe?
CCM inahusiana na Mbowe kwenye Ubunge- walimtoa akiwepo jimboni hai
CCM inahusiana na Mbowe kwenye Urais- walimshinda akiwa hayuko jela
CCM haihitaji Mbowe afungwe ndiyo ipate inachokitaka kwa sababu imekuwa ikipata akiwepo
Wewe ndio wale tunawaita CCM limbukeni
 
Wana CCM mliopo mtandaoni.

Ni kweli wapinzani hawana ajenda na bawajawahi kuwa nayo zaidi ya blah blah tu.

Lakini, nasema lakini sisi wana CCM kupitia CCM Maslahi ndio tunawapa hawa wapinzani cha kutusumbua nacho.

Mfano: Hii kesi ya kijinga ya Mbowe ina manufaa gani sasa ki siasa kwetu CCM?

Sawa, ni kweli Mbowe ni tishio kwetu lakini sisi ni wakubwa zaidi ya Mbowe tungeweza kum contain kisayansi tu. Ona sasa badala ya sisi kupata political mileage kwa kumtia gerezani yeye ndo anapata political mileage nyingi mno!

CCM Maslahi wataizika hiki chama muda si mrefu then wanahamia kwingine. Time will tell!
ccm imejengwa katika mfumo wa Ukatili na roho mbaya , sasa wewe kama huna hivyo vimelea bora tu utoke huko
 
CCM inahusika vipi na hii kesi ya Mbowe?
CCM inahusiana na Mbowe kwenye Ubunge- walimtoa akiwepo jimboni hai
CCM inahusiana na Mbowe kwenye Urais- walimshinda akiwa hayuko jela
CCM haihitaji Mbowe afungwe ndiyo ipate inachokitaka kwa sababu imekuwa ikipata akiwepo
Wewe ndio wale tunawaita CCM limbukeni
ccm imejengwa katika mfumo wa Ukatili na roho mbaya , sasa wewe kama huna hivyo vimelea bora tu utoke huko
Sasa nitoke niende wapi? Huko kwenu nako hamueleweki njaa inawasumbua sana
 
Hawataki wao kushitakiwa lakini wanataka wawashitaki wengine
muosha huoshwa, ipo siku watalipia gharama ya matendo yao, itafanyika review ya mikataba yote ya uwezekezaji kisha wawekezaji hawatasumbulia bt wote walioingia mikataba hiyo ya kuligharimu taifa watashughulikiwa, tuombe uzima tu.
 
Wana CCM mliopo mtandaoni.

Ni kweli wapinzani hawana ajenda na bawajawahi kuwa nayo zaidi ya blah blah tu.

Lakini, nasema lakini sisi wana CCM kupitia CCM Maslahi ndio tunawapa hawa wapinzani cha kutusumbua nacho.

Mfano: Hii kesi ya kijinga ya Mbowe ina manufaa gani sasa ki siasa kwetu CCM?

Sawa, ni kweli Mbowe ni tishio kwetu lakini sisi ni wakubwa zaidi ya Mbowe tungeweza kum contain kisayansi tu. Ona sasa badala ya sisi kupata political mileage kwa kumtia gerezani yeye ndo anapata political mileage nyingi mno!

CCM Maslahi wataizika hiki chama muda si mrefu then wanahamia kwingine. Time will tell!
Kwa nini usiitishe kikao lumumba, hapa hutopata msaada wowote
 
Kama kuna watu hawana akili nchi hii ni Usalama wa Taifa waliopandikizwa ndani ya CCM. Hawa ndio Mainjinia wa hii kesi uchwara. Mnawaona kina Kingai na Jumanne ni Punda tu wabeba mizigo na kama mnavyowaona wamelemewa na Sasa la lawama zote ziko juu Yao kumbe waanzilishi wa Msala wako pembeni.
Siyo kwamba hawana akili. Wanatembea na gepu. Halafu kwasababu bibi ushungi kairithi hiyo kitu na kwasababu sukuma gang hawampendi na wala hawakutaka achukue nafasi hiyo, coincidentally bibi ushungi kakumbatia bomu, wanaacha limlipukie. Kwahiyo hapo usalama wao hawana ishu. Bibi ushungi alipaswa kujua huo ni mtego ili aepukane nao.
 
kaka, hii kesi ina manufaa kwa CCM mwendazake - tatizo maza anataka kurithi kila kitu hadi matatizo binafsi ya marehemu kitu ambacho ni kosa kubwa kibinadamu hata katika ulimwengu wa kiroho.

Maza apewa ushauri huu muhimu, kama marehemu alikuwa hampendi A, B, C D basi ni yeye na wala asitake sisi wana CCM wote tuendelee kuyaachukia ambayo yeye aliyona hayamfani wakati yeye hayupo duniani na hawezi kurudi tena.

Hata kama marehemu aliapa kutotoa katiba mpya basi ni yeye, sasa kwani sisi tulibaki hapa duniani tukisema katiba mpya ni ajenda yetu leo ni kosa ? arudi basi kama ana uwezo huo.

Narudia tena, maza ashauriwe - adui wa mtangulizi wako si wa kwako, principal ya maisha ni kwamba tengeneza marafikio wengi kuliko maadui.

Nitamweshimu wana CCM YEYOTE atayetamka kwamba katiba mpya ni ajenda yetu ya leo, regardless !!
Umenichekesha sana"Anataka kurithi matatizo ya mtu binafsi"
Atafanyaje wakati yalikuwa kwenye pipe tayari
 
Wana CCM mliopo mtandaoni.

Ni kweli wapinzani hawana ajenda na bawajawahi kuwa nayo zaidi ya blah blah tu.

Lakini, nasema lakini sisi wana CCM kupitia CCM Maslahi ndio tunawapa hawa wapinzani cha kutusumbua nacho.

Mfano: Hii kesi ya kijinga ya Mbowe ina manufaa gani sasa ki siasa kwetu CCM?

Sawa, ni kweli Mbowe ni tishio kwetu lakini sisi ni wakubwa zaidi ya Mbowe tungeweza kum contain kisayansi tu. Ona sasa badala ya sisi kupata political mileage kwa kumtia gerezani yeye ndo anapata political mileage nyingi mno!

CCM Maslahi wataizika hiki chama muda si mrefu then wanahamia kwingine. Time will tell!
CCM iliyopo kwa sasa haina faida yoyote kwa taifa kinachokuuma ni kitu gani acha iendelee kutenda vitendo viouivu dhidi ya raia ili wapate mwamko na kuchukua maamuzi yasiyojali chochote mbele yao kunusuru nchi
 
Wana CCM mliopo mtandaoni.

Ni kweli wapinzani hawana ajenda na bawajawahi kuwa nayo zaidi ya blah blah tu.

Lakini, nasema lakini sisi wana CCM kupitia CCM Maslahi ndio tunawapa hawa wapinzani cha kutusumbua nacho.

Mfano: Hii kesi ya kijinga ya Mbowe ina manufaa gani sasa ki siasa kwetu CCM?

Sawa, ni kweli Mbowe ni tishio kwetu lakini sisi ni wakubwa zaidi ya Mbowe tungeweza kum contain kisayansi tu. Ona sasa badala ya sisi kupata political mileage kwa kumtia gerezani yeye ndo anapata political mileage nyingi mno!

CCM Maslahi wataizika hiki chama muda si mrefu then wanahamia kwingine. Time will tell!
Ona sasa badala ya sisi kupata political mileage kwa kumtia gerezani yeye ndo anapata political mileage nyingi mno!
 
Wengi wanajua km Mbowe anafadhaika SANA kuwa gerezani, lkn ukweli ni kwamba Mbowe anafurahia sana kuwa gerezani kuliko kuwa mtaani aki organize masuala ya katiba mpya.

Mbowe hapo anafanya siasa ki sayansi sana kwa gharama kubwa ya CCM
Hahahaha
 
CCM iliyopo kwa sasa haina faida yoyote kwa taifa kinachokuuma ni kitu gani acha iendelee kutenda vitendo viouivu dhidi ya raia ili wapate mwamko na kuchukua maamuzi yasiyojali chochote mbele yao kunusuru nchi
Kinachoniuma ni chama changu kuwa kama zombie fulani hv amazing
 
Back
Top Bottom