Kuna ubaya gani kunywa supu ukiwa inatembelea kwenye bandari?Jina la Mahita si geni katika nchi yetu, Omari Mahita aliwahi kuwa IGP katika jeshi la polisi. Kama majina yametokea kufanana na bwana Insipekta amepanda vyeo kutokana na weledi wake ni vyema na haki
Kuiondia ni moto kuendelea nayo pia ya motoWakili Matata naye ni matata kweli. Lakini zile kete wala bastola polisi inaonekana kama hawana tatizo nazo eti! Hii kesi ili kuepusha aibu zaidi kwa serikali waoindoe tu mahakamani maana haitawaacha salama!
Poor AvogadroTatizo la mitandao watu wanajadili vitu vidogo ambaovyo haviwezi kuathiri substance ya case ,hukumu itatolewa kwenye msingi ambao kesi imejengwa , kwenye kesi kuna irregularity ambazo ni currable na zingine ni incurable kwa hivi ambavyo wachagga wanashangilia kwenye space ni vitu minor sana kesi bado mbichi
Hapana ila karithi kipaji cha kubumba kesi itakavyokuwa kwa mtoto wa Sirro.Kuna ubaya wowote mtoto wa Mahita kuwa polisi?
NdioKuna ubaya wowote mtoto wa Mahita kuwa polisi?
Hahaha daaaahnimeshasema makamanda wetu wa kitanzania ukiwaona wamekaa kwenye jopo lao na manyota begani utasema makamanda kwelikweli!
ngoja waanze kuongea.utachoka mwenyewe.
Basi conclusion ni kua walikua wanakunywa hiyo supu huku wanatembea.Jina la Mahita si geni katika nchi yetu, Omari Mahita aliwahi kuwa IGP katika jeshi la polisi. Kama majina yametokea kufanana na bwana Insipekta amepanda vyeo kutokana na weledi wake ni vyema na haki...
Hivi baba yule ni kabila gani hadaYule wa housegirl anasomeshwa na Nani?
Hawa police nao hawanaga akili nn, hivi unakubalije kuwa shahidi wa kesi ya kutunga kama hii si unaenda kuaibika tu. Tatizo Unafiki ja Kujipendekeza kunaponza police wa Tz.Hapo sio suala la kuwa na elimu ya kiwango gani!!bali tatizo linapokuja kama unaenda kutoa ushahidi kwenye kesi ya kubumba hayo ndio matokeo yake mkuu!!
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa TanzaniaHii kesi mpaka iishe tutaona na kusikia mengi.
Sioni ubaya wa mtoto wa Mahita kuwa Askari polisi, pia kwa Elimu aliyonayo ya shahada moja au zaidi anastahili kabisa kuwa na cheo hicho. Tena nimeshangaa sana mtoto wa IGP mstaafu anakosaje kitengo nyeti kabisa?Jina la Mahita si geni katika nchi yetu, Omari Mahita aliwahi kuwa IGP katika jeshi la polisi. Kama majina yametokea kufanana na bwana Insipekta amepanda vyeo kutokana na weledi wake ni vyema na haki
Vijana wa Chaggadema hawana akili. Ni mabingwa wa ushabiki na propaganda za mitandaoni ila mwisho wa siku makengeza akigongwa nyundo wanaanza kusema mahakama siyo huru.Tatizo la mitandao watu wanajadili vitu vidogo ambaovyo haviwezi kuathiri substance ya case ,hukumu itatolewa kwenye msingi ambao kesi imejengwa , kwenye kesi kuna irregularity ambazo ni currable na zingine ni incurable kwa hivi ambavyo wachagga wanashangilia kwenye space ni vitu minor sana kesi bado mbichi
Yaani eti unamkamata mtuhumiwa na kete 58 za heroine na silaha kinyume na umiliki eti hapo hukuona kosa la kumwandikia maelezo. Yaani kweli kama senema ya Rambo tu.Wakili Matata naye ni matata kweli. Lakini zile kete wala bastola polisi inaonekana kama hawana tatizo nazo eti! Hii kesi ili kuepusha aibu zaidi kwa serikali waoindoe tu mahakamani maana haitawaacha salama!
Mtanyooka tu hata kama walikuwa wanatembea au wanakula hai ni magaidi wameshaungia line
hapana kabisaHongera Mtoto Wa Kishua
Sifahamu kuhusu housegirl. Ila nimesoma na watoto wake wawiliYule wa housegirl anasomeshwa na Nani?
Na kurudisha trafiki wa kike kuvaa sketi mkuuTuliposema jeshi la polisi livunjwe hatukueleweka , tulitakiwa tubakishe brass band tu