Hivi huwa mnachangia kabla ya kusoma au vp! maana hili swali ni utopolo wa hali ya juu... bila shaka ww ni mwananchi mkuu?daaah poleni aisee huyo mama kaolewa tena@bishanga?
ndo mama yake taji liundi?
Hivi huwa mnachangia kabla ya kusoma au vp! maana hili swali ni utopolo wa hali ya juu... bila shaka ww ni mwananchi mkuu?daaah poleni aisee huyo mama kaolewa tena@bishanga?
ndo mama yake taji liundi?
Acha tu aisee...!!Thanks Mtambuzi!kesi hii ni moja ya kesi zilizowahi kutikisa jiji la Dar,kamakesi ilivyofuata kwenye miaka ya 80 mwanzoni kesi iliyomuhusu Dr huyu huyu kwenye kesi hii.Jambo kubwa hapa,kesi zote zilihusisha mambo ya mapenzi,tena kwa vijana wasomi wa kipindi hicho!na zote zilipelekea mauaji ya kutisha!!!Jamo moja kubwa la kujifunza hapa kwetu sote,pamoja na madhaifu yetu kama binadamu,hakuna jambo linaloweza kuumiza nafsi ya mwenzio kama usaliti wa mapenzi.Na basi tunapoamua kuingia katika ndoa ni lazima uamuzi huo uwe umefanyika kwa dhati!!Leo mzee Liundi pamoja na heshima yake katika jamii nadhani ni jambo linalomuumiza mpaka siku mauti yatakampomkuta!!!TUPENDANE KWA DHATI!!!!NDOA SIO MAIGIZO AU MAKARATASI YA MAKANISANI,MSIKITINI AU KWA MKUU WA WILAYA!!
Huyo Taji Liundi ana uhusiano wowote na Khalfan Liundi wa ITV?Hujakosea. Ndivyo kweli.
Hawana uhusiano wowote, hata majina yao ni tofauti; yule wa ITV Arusha anaitwa Khalfan Lihundi, Taji surname yake ni Liundi.Huyo Taji Liundi ana uhusiano wowote na Khalfan Liundi wa ITV?
Mcheki you tube kwenye kipindi cha salama cha JanaNgoja nimuone insta huyo taji liundi
Yes niliwahi kukutana nae nyumbani Chang'ombe Dar es Salaam, ni alikua Mama mwema sana! Brother Taji Liundi amechukua upole na ucheshi wa Mama yake, he is a gentle man! Bra
[/QUOT
hakumtuhumu kwa uongo, inasemekana mama alivyokua chuoni alikua na mpenzi wa siri huku akiwa kwenye ndoa, na huyo mpenzi wa siri akampa maradhi ya zinaa, na yeye kuyabeba kumpelekea mumewe kumuambukiza,, ila mzee inasemekana alikua akihisi hayo mahusiano,, kosa mke kusema ukweli kwa mumewe akisingizia alibakwa na kupewa magonjwa ya zinaa na kumpa yeye,, sasa kama unavyojua wanaume tulivyo hata ukitukumbushia au kujua mwenyewe kosa ambalo ulimfanyia la usaliti ukiwa ndani ya ndoa na hukusema ukaficha, hata akiligundua miaka kumi mbele, lazima utapewa redcard tu, labda umuhadithie kitu ambacho kabla hamjaingia kwenye ndoa hatomaindi.sikupenda Mumewe alivyomtuhumu na kumuacha pekee kwa miaka
je huyu Mama ni Kabila gani?
sipendi kutoa Hukumu Mungu amlaze pema peponi
Usiseme Siri zako kwa mpenzi .Mimi nasemaga mi bikrahakumtuhumu kwa uongo, inasemekana mama alivyokua chuoni alikua na mpenzi wa siri huku akiwa kwenye ndoa, na huyo mpenzi wa siri akampa maradhi ya zinaa, na yeye kuyabeba kumpelekea mumewe kumuambukiza,, ila mzee inasemekana alikua akihisi hayo mahusiano,, kosa mke kusema ukweli kwa mumewe akisingizia alibakwa na kupewa magonjwa ya zinaa na kumpa yeye,, sasa kama unavyojua wanaume tulivyo hata ukitukumbushia au kujua mwenyewe kosa ambalo ulimfanyia la usaliti ukiwa ndani ya ndoa na hukusema ukaficha, hata akiligundua miaka kumi mbele, lazima utapewa redcard tu, labda umuhadithie kitu ambacho kabla hamjaingia kwenye ndoa hatomaindi.
Sidhani coz huyu DJ navyofahamu Kachanganya rangi.Duh, huyu Taji mtoto aliyebaki ndio huyu mtangazaji Taji Liundi?
Naielewa hoja yako, inafikirisha....!Duh! kweli tembea uone na kusikia!...Ila sasa Jaji Makame alivyomhukumu kifo si ndio katekeleza alichokua anataka Agness?
Insecurities za huyo mumewe is one thing( Probably hurts ) but seeing your children die and your wife hanged? Probably anajilaumu hadi sasa if at all he is alive. Guys we have to try to understand our women- its not that hard! Sio unakurupuka tu eti nisikukute home, mke mwenyewe hujamkuta red handed!
Taji Liundi miaka yote yuko kwenye TV na radio humjui?sasa Wit unazinguaNgoja nimuone insta huyo taji liundi
Kuna binti mkenya nilipo aliua wanae wawili kwa kuwazamisha majini(drown)Ni story ya kusikitisha sana
Mapito ya Maisha
Storu kama hizi unazikuta Investigation Discovery Channel
majuzi niliona story ya Mama mmoja mzungu (u may google Andrea Yates) aliua wanae watano siku moja within one hour or so kwa kuwazamisha(drown) kwenye (sink la kuogea) bathtub mmoja baada ya mwingine...
alifungwa
Ila miaka kadhaa badae aliachiwa on grounds za ukichaa/insanity(alikua na historia ya hadi kulazwa hospitali kwa matatizo ya akili na ashafanyiwa treatment ya depression lakini bado hakuwa sawa)
Chanzo kingine walivyoelezea ni post partum depression...
story ilikua na mengi ila kwa ufupi ndo hayo