Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si anakata rufaa... Keshakatiwa 30 hana sababu ya kuendelea kulipa mawakili aghali.
tatizo ameshachelewaKama ningekuwa Sabaya yale mabilion yote niliyoiba naenda kuzichimbia zizini Longido ndani ndani huko karibu na kina Stroke. Halafu baada ya hii hukumu namuita maza na mshua kuwaomba wa nisamehe na kuwanong'onezea pesa zilipo. Baada ya hapo natembea kisongo gerezani uchi siku tatu mfululizo kulaani mamlaka za juu kwa kunisababishia hizi zahama halafu najiua.
Hakuna haja ya kuendelea kuishi tena bila Mbususu, wali na wine.
Coach Slamah Hamad Chaliifrancisco Stroke
Mwigulu, Makonda, Gambo, Mnyeti, Msukuma, n.kBado wengi wamebaki ndani ya system wako kama Huyo Ole.
hahhahahhahahaha Iddy Amini akikohoa tu malyamungu uyu apa anauliza mzee tuuwe nan?Yaani Maliyamungu alikuwa chawa mkuu wa Idi Amino,Kazi zote chafu za kuteka watu,kuua,kufilisi wafanyabiashara alikuwa anafanya yeye kwa weledi mkubwa sana kama ilivyokuwa Bashite na case za wakina Manji,MO,Saa8, Lissu
Sent using Jamii Forums mobile app