Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kinachokuuma ni nini?haka kazee nako kanafiki kweli,Sasa si kakagombee uenyekiti wa chama,aachane na uaskofu tumkaribishe kwenye ulingo wa siasa!! hizo sare zinatumika vibaya sana!! au naye ni shahidi wa utetezi!!
Inaonyesha wazi hii ilikuwa ni timu maalum iliyokuwa imepewa jukumu la kummaliza Mbowe. Ni timu iliyokuwa inawajibika kwa mtu mmoja tu aliyeikabidhi kazi hiyo kwao.Umeona udhaifu wa shahidi vizuri kabisa. Anaulizwa kwanini baada ya kukiri makosa yake hawakumpeleka kwa mlinzi wa amani. Anajibu: hatukutaka kupoteza muda tulikuwa tunataka kuhakikisha ugaidi hautokei. Anasahau hata shahidi mwenzake aliulizwa kama kuna taarifa zozote kwa wakuu wa polisi wa maeneo lengwa, jibu hakuna. Kama walengwa (Sabaya) walifahamishwa kuhusu kutafutwa kwao kutendwa ubaya, hapana. Kama walitoa taarifa kwa kamati za usalama za wilaya au mkoa, hapana. Sasa sijui ni hawa watu wanne tu walikuwa na jukumu la kuzuia ugaidi nchi nzima???
Tuna polisi wa ajabu sana. Na bahati mbaya huyu shahidi nae amesimamishwa kazi kwa kubambikizia mtu kesi!!
Jaji anapaswa kujua kuwa yeye hayuko peke yake hapa duniani, ana familia mke na watoto. Ana ndugu zake na marafiki, jee haoni aibu anapo onekana mjinga na asiyetenda haki ana aibisha walio karibu naye mbele ya jamii?Ni kweli asingefuata sheria kwa hili legacy yake ingepotelea mbali.
Watu wanasoma vzr hii kesi huko mtaani na ingewashangaza km isinhekuwa.
Alafu mbona ushahidi wa mbowe upo straight kuliko hata ule wa Sabaya wa kuunga unga..mawakili w mbowe wameamua kuisumbua mahakama
Panda gani kategwa?chief Haingaya hana ubavu wa kumfunga Mbowe!! kama anadadangaywa hivyo na wana CCM waroho wa madaraka yatamkuta !! Hii kesi ni mtego wa panya.