Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,479
- 30,144
AmenMungu ibariki JF
AmenMungu ibariki JF
sio kusogeza siku tu, kuna hatari ya kumkamata na kumuweka mahabusu ili siku hiyo asiweze kuhudhuriaWashasikia Lissu atakuwepo hiyo tarehe 26 September na mawakili wa serikali wanavyoliogopa hilo Jina nategemea hiyo kesi kusikia imesogezwa mbele tena kwa uoga wa kufundishwa sheria.
Wakili aliyesimama upande wa JamiiForums, Ndg. Peter Kibatala ameonekana kukerwa na danadana inayochezwa na Jamhuri katika kesi hii. Wakili Tundu Lissu amesema atahakikisha tarehe 26 Septemba anakuwepo mahakamani ili ashirikiane na wenzake kujua hatma ya kesi hii.
sure mkuuTundu Lissu na Kibatala hawa jamaa ni msaada mkubwa sana katika nchii hii sema mambugila yanajifanya kama hayaoni umuhimu wao.