Jamani naomba msaada nimepeleka mashitaka yangu kwa mkurugenzi juu ya uonevu na manyanyaso lakn badala yake nikahamishwa kituo cha kazi. Mkurugenzi amebadilishwa ila na huyu mwingine nimempelekea barua ya nini manyanyaso ya sehemu ya kazi bado hajanijibu mwezi sasa.what next step should i opt?