Kesi na afisa elimu

makoke21

Member
Apr 23, 2014
20
5
Jamani naomba msaada nimepeleka mashitaka yangu kwa mkurugenzi juu ya uonevu na manyanyaso lakn badala yake nikahamishwa kituo cha kazi. Mkurugenzi amebadilishwa ila na huyu mwingine nimempelekea barua ya nini manyanyaso ya sehemu ya kazi bado hajanijibu mwezi sasa.what next step should i opt?
 
Pole sana nenda Ngazi za juu mfano kwa katibu tawala huwa wako very neutral
 
Back
Top Bottom