The genuius
Member
- Dec 14, 2019
- 69
- 41
Hivi hii serikali mbona chizi sana eti alisema mambo ya richmond epa hatutasikia tena akati CAG Asaad alidai trilion1.5 hazijulikani pale hazina zimeenda wapi
Pascal Mayalla,
Mkuu tusaidiane hapa!
Serikali inajinasibu kwamba linapigana na ufisadi je kwanini JF iliyotumika kufichua ufisadi inasakamwa na serikali? je kwa mantiki hii kuna uhalali wa serikali ya magufuli kujinasibu kwamba inapigana na ufisadi?