GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,006
Tanganyika Ndio itayo vunja muungano wetu, kuna kila sababu ya kusema haya, Tanganyika miaka zaidi ya 55 haitaki kuwa sikiliza viongozi wa zanzibar katika kuondoa kero za muungano wala kuwa sikiliza wananchi.
Viburi vikubwa kwa viongozi kwa wananchi wake eti kulinda muungano kwa gharama yoyote, kwa maana hata kuuwa, hiki kizazi sio cha 1960, ni kizazi tofauti kabisa.
Kizazi hiki kina taka mabadiko ya nchi, kisiasa na kijamii, uhuru wa kijieleza na haki za kibinadamu, kizazi hiki hakipendi kabisa kuishi kwa unyonye.
Muungano utavunjika tu, haukuletwa na mungu huu, wala sio chaguo la mungu, mjiandae ki saikolojia.
Viburi vikubwa kwa viongozi kwa wananchi wake eti kulinda muungano kwa gharama yoyote, kwa maana hata kuuwa, hiki kizazi sio cha 1960, ni kizazi tofauti kabisa.
Kizazi hiki kina taka mabadiko ya nchi, kisiasa na kijamii, uhuru wa kijieleza na haki za kibinadamu, kizazi hiki hakipendi kabisa kuishi kwa unyonye.
Muungano utavunjika tu, haukuletwa na mungu huu, wala sio chaguo la mungu, mjiandae ki saikolojia.