1. Defense wanajenga hoja, wana create doubt kuwa kwa vile Floyd alikuwa anatumia madawa ya kulevya na alikuwa na magonjwa ya moyo, basi kifo chake kwa kiasi kikubwa kilichangiwa na matumizi ya madawa ya kulevya ma magojwa ya moyo aliyokuwa nayo na siyo kukosa hewa kulikosababishwa na kukandamizwa na goti shingoni kwa dakika 9 sek 29?? mpaka aka suffocate
2. Prosecution inasema kuwa hata angelikuwa system zote za mwli ziko 100% perfect, mgandamizo huo kwa muda huo hata mtu mwenye afya bora kabisa duniani angelkufa.
Ni sawa na kusema hivi kama mtu anatumia madawa ya kulevya na ana magonjwa ya moyo, basi ukimpiga risasi kwenye moyo basi kifo chake kinakuwa kimechangiwa na magonja ya moyo na madawa aliyonayo na si risasi per se!
Hayo ndiyo maajabu ya Sheria na mawakili
2. Prosecution inasema kuwa hata angelikuwa system zote za mwli ziko 100% perfect, mgandamizo huo kwa muda huo hata mtu mwenye afya bora kabisa duniani angelkufa.
Ni sawa na kusema hivi kama mtu anatumia madawa ya kulevya na ana magonjwa ya moyo, basi ukimpiga risasi kwenye moyo basi kifo chake kinakuwa kimechangiwa na magonja ya moyo na madawa aliyonayo na si risasi per se!
Hayo ndiyo maajabu ya Sheria na mawakili