Sr. Magdalena
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 803
- 472
Week kadhaa zilizopita wabunge wawili wa mkoa wa Dar es Salaam walimpa week mbili meya wa jiji kuwaomba msamaha kwa kile walichokiita kuwakashi na kuwatukana na kama asingefanya hivyo waliahidi kumpandisha kizimbani,
Je kesi ilifunguliwa na kama ilifunguliwa je inaendeleaje au ulikuwa mkwara tu, njulisheni.
Je kesi ilifunguliwa na kama ilifunguliwa je inaendeleaje au ulikuwa mkwara tu, njulisheni.