Kesi dhidi ya Mbowe: Ushahidi wa Luteni Denis Urio ni muhimu sana

Kesi bado haijaanza kusikilizwa hivyo
tuweke akiba ya maneno kwani yapo mengi tusiyoyajua

Ni mapema mno kusema kesi hii ni ya kubumba na isiyo na ushahidi wowote
Msingi wa kesi ni hao makomandoo so hata kama ni tahira utajuwa kesi umeundwa na wajinga kwa muongozo wa IGP CDF DPP NA TISS aibu nchi inaenda kusiko tukatae hili litasababisha maafa na machafuko makubwa
 
Ni kweli, kwanza issu ya Moses Lijenje kupotezwa ishakuwa kubwa mno. Nafikiri Komandoo Moses hakukubali ujinga akaamua kupigana hadi tone lake la mwisho. Hii kitu kinaweza kikawa kikaango wa baadhi ya maafisa wa TISS na Police. Hii kesi ishawageukia kina Kingai tayari...mkumbuke hii ilikuwa enzi za mwendazake, connect dots na yule jambazi sugu la Hai.

Nakumbuka miaka za zamani nikiwa mdogo kabla sijamshitaki kaka ama dada yangu kwa baba ni najipanga kwanza, unaweza kupeleka mashitaka then kibao kikakugeukia wewe unakaangwa vibaya saana !! ndo haya ya kina Kingai.
View attachment 1959245
Je huyu Moses hana ndugu kama wapo waliwai kutangaza kupotea kwake, kifo chake? Kuna taarifa yoyote kutoka kwenye familia yake toka hii kesi ianze au kabla ya kesi kuanza?
 
Mashahidi upande wa Jamhuri bado wengi waliopo kwenye orodha, akiwemo Sirro kwa kauli zake…. japo wameanza kuwapunguza lakini idadi tajwa ni 23.

Urio anaingilia kwenye kauli ya Kingai, hata kama hakuwemo kwenye orodha inabidi aitwe.
Ni Lazima aitwe maana ndo muanziasha taarifa za kuwepo kwa njama za kula ugaidi
 
Ni nadra sana kuona mtu kama Luteni wa Jeshi aliyeko kazini anateswa hovyo hovyo na hawa ma copro wa Police - nafikiri mama arudishe hadhi ya jeshi letu hili haraka mno - kesi ya Mh. Mbowe imeonyesha wazi wazi.

Kama Mwanajeshi kakiuka basi kuna mamlaka ya kijeshi yamchukulie hatua lakini si kumtoka kambini na kuteswa na raia wakakamavu. Hata leo hii wananchi wakiwaona JWTZ wanapita kwa mazoezi husimama kushangilia huku kina mama kupiga vigelegele - JWTZ ni jeshi letu wananchi lipewe hadhi yake.

Awamu ya tano kuna mambo imefanya hayakuwa sawa kwenye hivi vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.
Dharau kama hizi ndio zinazofanya tuwape kichapo.Kudos Police!
 
Je huyu Moses hana ndugu kama wapo waliwai kutangaza kupotea kwake, kifo chake? Kuna taarifa yoyote kutoka kwenye familia yake toka hii kesi ianze au kabla ya kesi kuanza?
Wanaambiwa tu kaenda sudani - special military mission - unafanyaje sasa, si unaondoka kurudi home.
 
Acheni huu UPUMBAVU ndio maana mnaishi kwenye makwapa ya watawala sababu mna uwezo duni wakufikiri issue sio mtu kufungwa inatakiwa mtu afungwe kwa kesi ya kweli sio ule UPUMBAF mnafanya

Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
Wewe unaonekana uwezo wako wa kufikiri unaishia ilipoishia pua, kwani mbowe ni nani asiwe gaidi au ni masihi katoka kwa bwana, ndio maana tunasema wafuasi wa gaidi ni manyumbu mmeshikiwa akili
 
Unepaniki, mtaani tunasema. Kuna sehemu yoyote mleta mada amesema washitakiwa hawakutenda kosa?? Sio polisi wala wewe tunaweza kumfutia au kumpa mtu yeyote makosa. Ni mahakama!!

Hata tafsiri ya ugaidi bado huijui - ugaidi sio kumshutumu mtu kwa kosa - ungekuwa unafuatilia jambo hili kwa ufahamu ungeshajua mambo mengi, ikiwemo na kuwa ugaidi Tanzania unawezekana!!
Unachekesha kweli ndio maana tunasema nyie bavicha na bawacha ni Kama misukule,sio nyinyi mnaosema mbowe sio gaidi sasa unajichanganya tena
 
Ndugu zangu!

Kwa wale tunaofuatilia kwa ukaribu hii kesi pendwa, tutakumbuka maelezo muhimu kutoka kwa mashahidi wa pande zote mbili.

Kwenye kesi ya msingi, tulisikia ushahidi wa ACP Kingai akimtaja Luteni Denis Urio kuwa alitumika kama mtego kwa sharti la kuripoti kila hatua.

Kwa maelezo yake, Urio alihusika 'kumtafutia' Mbowe wasaidizi aliowahitaji. Ikawa hivyo.

Hapa tulitegemea kuwa Urio 'amemchoma' kwa kuripoti mipango yake inayoitwa ya ugaidi.

Lakini kwenye ushahidi wa kesi ndogo uliotolewa na Komandoo Ling’wenya (mtuhumiwa), yeye kamtaja Urio kuwepo kwenye moja ya mahabusu za hao wanaoitwa magaidi na amemshuhudia akipitia mateso kama hao wengine.

Hii inatupa mwelekeo gani? Kwanini mtu aliyetajwa kufanikisha ukamatwaji wa magaidi naye anakula kichapo?

Urio yupo upande gani?

Japo si mmoja wa mashahidi katika hii kesi ya msingi, lakini sasa ni rasmi ameingizwa na itabidi apande kizimbani.

Ushahidi wake unaweza kutusogeza hatua nyingi kuelekea kuufahamu ukweli, tunamhitaji Luteni Denis Urio kizimbani bila kukosa.

Ncha Kali.
Hapa umeba ushahidi wa uongo
"...Lakini kwenye ushahidi wa kesi ndogo uliotolewa na Komandoo Ling’wenya (mtuhumiwa), yeye kamtaja Urio kuwepo kwenye moja ya mahabusu za hao wanaoitwa magaidi na amemshuhudia akipitia mateso kama hao wengine...."

Huyo shahidi aliwezaje kumwona Urio akiteswa wakati mwinzie aliyekamatwa naye amedai hakuwa anaonna kwa sura ila sauti tu? Think deeper to analysis what is being stated and evaluate its relevance
 
Mawazo yangu Mawili ya Tofauti

1. Urio yupo upande wa Mashitaka (Shahidi mhimu) Isipokuwa ndani ya misheni Ilitakiwa pia Ateswe ili ionekane kuwa Ni mmoja ya watu waliokuwa kwenye Chain 1 ili kuwapoteza uelekeo wenzake.. Kwenye kesi ya Msingi huyu Ataibuka na kumaliza utata.. Sishangai kabisa Coz Kuna watu huwa wanafungwa Gerezani na kupitia mateso Tena makubwa ili tu Kukamilisha Misheni.. Siyo Rahisi Urio awe Shahidi upande wa Mbowe.

2. Lakini kama Yupo upande wa Utetezi yaani Kwa Mbowe Huenda Alitumika upande wa Selikali Kama Agent na Aliponogewa na Misheni Akaachana na Selikali naye Akajiunga Rasmi na Wanaoitwa Magaidi Kufanya Uhaini. Ngoja tuendelee kusubiri.
Double agent?
 
Kuwa na Mashahidi wengi sana kwa upande wa serikali ni very risk sana,tena mnoooo hasa kwa kesi ya kupikwa.Just imagine tayari serikali imeshaleta mashahidi watatu na wote ushahidi umeshatofautiana tofautiana baina yao,Je,mpaka wakifika shahidi wa 23 unategemea nn kitatokea 🤣 🤣 🤣
Alafu nasikia Sirro na waJWTZ wengine ni mashahidi wa utetezi... Patamu hapo😂😂😂
 
Kwani huyo Urio bado ni muajiliwa wa jeshi au na yeye alishafukuzwa?
Kuna siri hatujaijua...kama kweli Mbowe aliomba walinzi binafsi kuoitia Urio....na Urio akamua take advantage apate vyeo faster kudanganya kuwa Mbowe ana ajenda siri ya ugaidi kuwatumia ex comando ....sidhani huyo Urio amedanganya umma ana lengo lake kupata vyeo tu hakuna lolote la ugaidi....kama kweli huyo Moses na Urio waliteswa ni botion tu kuwahadaa hao wengine....waone nao waliteswa kumbe sio wasaliti uongo mtupu hao ndio vibaraka snitch hao wamedanganya....Mbowe sio gaidi .....mateso makali waliyowapa na maelezo wameandika polisi ......kulazimisha Lingwenya ku sign kuwa walitumwa Mbowe ni upuuzi....waache utoto
 
Hii kesi ikiendelea ni aibu kwa serikali na ikifutwa na DPP ni aibu kwa serikali. Aibu haikwepeki kwa serikali kwa njia yoyote ile, yani kunyoa au kusuka hawapendezi.



Swali la kizushi;

CDF wetu angekua ndio yule mwamba wa Guinea, bwana Kanali Mamady Doumbouya angekubaliana na mwenendo huu wa kuvunja katiba, kulinajisi jeshi la nchi kwa kuwateka Makomandoo na kuwafanya waliofanywa (Kupigwa, Kuteswa na Kuchomwa bisibisi za makalioni)?
Agiza unachokunywa nakuja mkuu,una logic pana sana aiseeee
 
Back
Top Bottom