Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,495
- 9,275
Wakuu,
Leo Mahakama ya Kisutu imetoa maamuzi madogo (ruling) ya Kesi namba 456 inayoikabili JamiiForums (inayohusiana na Oilcom na Uchakachuaji mafuta bandarini/Ukwepaji kodi) na Hakimu amesema kubadilishwa huko kwa hati amejiridhisha hakutapelekea haki kutotendeka.
Kesi hii ambayo ipo chini ya Hakimu Thomas Simba, imepangwa kusikilizwa tena tarehe 06 na 07 Disemba na hakimu amewasisitiza upande wa Jamhuri kuja na mashahidi wote siku hiyo. Kesi hii itasikilizwa na kutolewa hukumu kabla ya mwaka kuisha.
Kupata kujua ilikotokea, soma Kesi dhidi ya JF: Jamhuri yasisitiza kutaka kubadili hati ya mashtaka! Ni ile ya Oilcom... Uamuzi kutolewa Oktoba 30
Leo Mahakama ya Kisutu imetoa maamuzi madogo (ruling) ya Kesi namba 456 inayoikabili JamiiForums (inayohusiana na Oilcom na Uchakachuaji mafuta bandarini/Ukwepaji kodi) na Hakimu amesema kubadilishwa huko kwa hati amejiridhisha hakutapelekea haki kutotendeka.
Kesi hii ambayo ipo chini ya Hakimu Thomas Simba, imepangwa kusikilizwa tena tarehe 06 na 07 Disemba na hakimu amewasisitiza upande wa Jamhuri kuja na mashahidi wote siku hiyo. Kesi hii itasikilizwa na kutolewa hukumu kabla ya mwaka kuisha.
Kupata kujua ilikotokea, soma Kesi dhidi ya JF: Jamhuri yasisitiza kutaka kubadili hati ya mashtaka! Ni ile ya Oilcom... Uamuzi kutolewa Oktoba 30