Wabunge wawakilishe wetu tusaidieni jamani kutuulizia swali hiliJe ? Ni haki serikali kuwasimamisha watu kazi bila kuwaambia makosa yao ? Hili linatokana na kusimamishwa kazi vijana 348 walioajiriwa na tume ya utumishi wa mahakama Tanzania mwezi June 2016 walipewa mikataba ya kazi na kupangiwa vituo vya kazi walianza kufanya kazi kwenye mahakama zote nchini na walipewa pesa za kujikimu kila mtu laki sita (348×600000) ambazo ni pesa za serikali ulipoanza uhakiki wa watumishi hewa hawa watumishi walirudishwa nyumbani bila kuambiwa sababu yeyote ile tangu wasimamishwe kazi Leo huu ni mwezi wa nane wapo nyumbani na hawajapewa taarifa yeyote ya kiofisi mpaka sasa hawajui hatima yao.
Wabunge wazalendo ulizeni swali hili .
Je ? Lini serikali itawarudisha kazini vijana hawa ,pili ,je ? Kwanini serikali iwaajiri vijana hawa kama ilikuwa inajua haina shida nao ? Je ? Serikali itaheshimu lini mikataba yake ? Je ? Kama haitawarudisha kazini hizo pesa nyingi za watanzania walizopewa kama pesa za kujikimu hao watumishi waliporipoti kazini ndoo zimepotea bure ? Je ? Serikali itawalipa sitahiki zao hawa vijana ?
Wabunge kama mnataka uthibitisho wa hili swala ongeeni na maafisa utumishi wa mahakama zote Tanzania wanataarifa juu ya jambo hili.
Umeelewa hoja lakini au unqchangia tu lengo tunataka waziri atoe tamko juu ya waajiriwa hawaMsigwa kama mzalendo aachie ngazi kwa kashifa ya kupewa uongozi kutoka briefcase la mbowe.
Uzalendo unazaliwa nao si kuigiza.
Umeelewa hoja lakini au unqchangia tu lengo tunataka waziri atoe tamko juu ya waajiriwa hawa
Acha hisia za kisiasa tunahitaji serikali itoe majibu juu ya swala hiliMwizi hawezi simama kwa ujasiri.
Sema watu wenye akili sawa na wanaweza tetea nia zao.
Polepole njoo uone Vijana wako huku! Kweli Ccm imezaliwa upyaMsigwa kama mzalendo aachie ngazi kwa kashifa ya kupewa uongozi kutoka briefcase la mbowe.
Uzalendo unazaliwa nao si kuigiza.
Watoe majibu ili watu wajue cha kufanyaMsubirie Waziri aje
Acha hisia za kisiasa tunahitaji serikali itoe majibu juu ya swala hili
Mawaziri hawaulizwi Maswali na Kachala... Soma KatibaWaulizeni mawaziri swali hili
Hata una uwezo wa kusolve tatizo hili kama unaweza Fanya sehemu yakoHao wachumia tumbo kumbe nao siku hiz ni wazalendo nilikua sijui aisee
Wewe nae una bifu binafsiSasa unamtuma fisi atafute ukweli wa kupotea kwa kondoo? We unamuoneje Msigwa?
Acha ushabikiMawaziri hawaulizwi Maswali na Kachala... Soma Katiba
Hao ni ungewaambia wafatilie mgao fulan fulan wa kuuza chama ndo wangekuelewa lakin kwa hilo swali unajisumbua tu nduguHata una uwezo wa kusolve tatizo hili kama unaweza Fanya sehemu yako
Lakini bora niwaambieHao ni ungewaambia wafatilie mgao fulan fulan wa kuuza chama ndo wangekuelewa lakin kwa hilo swali unajisumbua tu ndugu