Kesho utakuwa wapi ukila nyama Choma

Zero IQ

JF-Expert Member
Dec 21, 2016
13,917
24,673
Kesho ni jumamosi kwa wale wakazi wa dodoma wanajua kesho ni siku ya mnada yaani ni siku ya kwenda kula nyama,

Kuna mnada wa Msalato, N'kome chipogoro,na N.K.

ila mnada maarufu sana kwa nyama ni mnada wa pale Msalato watu wengi wenye heshima zao wakiwemo ,wabunge,wafanyabiashara wakubwa,mawaziri N.K. kesho utakutana nao pale mnadani wakila nyama ,


Je wewe mkazi wa dodoma na mkoa mwingine kesho utakuwa wapi ukila nyama Chomaaaaa?


Kwa Mrombooooooooooooooooooooo.


CC Zero IQ
 
Kesho ni jumamosi kwa wale wakazi wa dodoma wanajua kesho ni siku ya mnada yaani ni siku ya kwenda kula nyama,

Kuna mnada wa Msalato, N'kome chipogoro,na N.K.

ila mnada maarufu sana kwa nyama ni mnada wa pale Msalato watu wengi wenye heshima zao wakiwemo ,wabunge,wafanyabiashara wakubwa,mawaziri N.K. kesho utakutana nao pale mnadani wakila nyama ,


Je wewe mkazi wa dodoma na mkoa mwingine kesho utakuwa wapi ukila nyama Chomaaaaa?


Kwa Mrombooooooooooooooooooooo.


CC Zero IQ
Wa akina choka mbaya ni upi kati ya hiyo?
 
Kesho ni jumamosi kwa wale wakazi wa dodoma wanajua kesho ni siku ya mnada yaani ni siku ya kwenda kula nyama,

Kuna mnada wa Msalato, N'kome chipogoro,na N.K.

ila mnada maarufu sana kwa nyama ni mnada wa pale Msalato watu wengi wenye heshima zao wakiwemo ,wabunge,wafanyabiashara wakubwa,mawaziri N.K. kesho utakutana nao pale mnadani wakila nyama ,


Je wewe mkazi wa dodoma na mkoa mwingine kesho utakuwa wapi ukila nyama Chomaaaaa?


Kwa Mrombooooooooooooooooooooo.


CC Zero IQ
Kumbe wewe fala ni first year wa udom..
 
Back
Top Bottom