fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,382
- 7,909
NbcShirikisho la mpira Tanzania, Tanzania Football Federation (TFF) Kesho linategemea kumtangaza Mdhamini mkuu wa ligi kuu Tanzania Bara kwa msimu wa 2021/2022.
Shirikisho hilo limewataka waandishi wa habari kuwepo kesho asubuhi katika ofisi za TFF zilizopo Dar es Salaam.
Hivyo kesho Mdhamini atatangazwa rasmi.
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app