1. Tunashirikiana jmt mgombea Lissu Zanzibar Maalim.
2. Tunaachiana majimbo kwa utaratibu wetu.
3. Lissu anaendelea na kampeni kama ilivyo.
4. Hatutambui kusimamishwa kwake hasa kama hakuna hatua zozote zilizochukuliwa kuhusiana na malalamiko yote aliyofikishiwa mgombea wa CCM.
Yakiwamo ya majaliwa kuendelea na kampeni kinyume cha utaratibu.
5. Dkt. Mahera ang'oke tume wito wa kudai tume huru unapoendelezwa kwa nguvu zaidi.
6. Wote walioenguliwa warejeshwe.
7. ....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.