wadau nomeona mnakadili igunga na kusahau kuwa kunakata ishirini na mbili,ambazo nazo zonafanya uchaguzi wa madiwani.naomba kuwatajia ili mfiatilie na huko ni chadema na ccm ndo wameweka wagombea ,nazo ni mara moja tarime,moja serengeti na tatu rorya, mbeya kata mbili za mjini, ruvuma kata moja, iringa kata mbili mjini,tabora kata moja uyui,arusha kata moja monduli,dodoma kata mbili mjini ,singida kata moja iramba,shinyanga kata moja mjini. Kuna haja ya kufuatilia chaguzi hizi zina maana kubwa sana kwenye siasa za taifa hili letu. Nawasilisha