Kesho kuanzia saa 12 asubuhi wasafi media chini ya CEO wao diamond platnumz wanatarajiwa kufanya tukio kubwa la kulouch kipindi kipya Cha michezo pamoja na mambo mengine Kama suprise kwa mashabiki wao na mgeni rasmi atakuwa waziri wa sanaa na michezo Harrison mwakiembe.ukiachana kuuzulia kwa mwakiembe lakini pia kitakuwa na macelebrities mbalimbali pamoja na wadau wa media,sanaa na michezo.Tukio Zima litarushwa live wasafi fm na wasafi tv pamoja na YouTube.