Kesho nafumania nimfanyaje mgoni?

The only

JF-Expert Member
May 19, 2011
10,402
13,359
KUNA mtu mmoja nilizikamata sms za malovie kwa mpenzi wangu wakijibizana ,nikazunguka kitaa nikapata full detail jamaa anamtafuna mpenzi wangu baa fulani sasa kesho nimekuta sms kuwa watakutana pale jion na tayali huyu manzi nikamuomba nitoke naye kanipa sababu lukuki nikajifanya understanding.Sasa waungwana ninahakika kwan nshachunga na muhudumu wa gesti ,je nikiwabamba nifanyaje ? inaniuma sana.
 
Aaaaah, mi nilifikiri mkeo? Una uhakika gani kwamba huyo anayemmega siyo chaguo lake la kwanza? Mweleze huyo mpenzio kuwa umejua nyendo zake na umeamua kuachana naye bas.
 
Una uhakika gani kuwa unayetaka kumfumania ndiye mmiliki halali!
Kama ni mchumba, mweleze tu kuwa tayari ushajua nyendo zake. Wasichana wapo wengi.
 
KUNA mtu mmoja nilizikamata sms za malovie kwa mpenzi wangu wakijibizana ,nikazunguka kitaa nikapata full detail jamaa anamtafuna mpenzi wangu baa fulani sasa kesho nimekuta sms kuwa watakutana pale jion na tayali huyu manzi nikamuomba nitoke naye kanipa sababu lukuki nikajifanya understanding.Sasa waungwana ninahakika kwan nshachunga na muhudumu wa gesti ,je nikiwabamba nifanyaje ? inaniuma sana.

Kidume cha kweli hana time na mwanaume mwenzake pale anapofumania coz' the one who's obliged to you is ur wife! The one who betrayed you is your girl and not the man!! so let the man go freely but with oral warning and then deal with ur gal.
 
nadhani kisheria huwezi kumfumania mpenzi, unaweza kumfumania mume au mke WA NDOA.
Mpenzi ni mpenzi tu, unaweza kuwa nao 100, na yeye 100. Anza fasta. Ila ni fundisho kwako, OA.
 
Mnake huyu binti ni mtu mzima ana akili zake ameamua mwenyewe kwenda kuchakachuliwa sasa wewe unasema unafumania angalia jamaa anaweza kukukata za chembe na demu kala mzigo hapo ndio utajijua...manake haiwezekani mi nitongoze binti hajaolewa halafu uje kuleta ukuda nakupa tifu la mwaka....kama umeoa sawa lakini demu?!!
 
KUNA mtu mmoja nilizikamata sms za malovie kwa mpenzi wangu wakijibizana ,nikazunguka kitaa nikapata full detail jamaa anamtafuna mpenzi wangu baa fulani sasa kesho nimekuta sms kuwa watakutana pale jion na tayali huyu manzi nikamuomba nitoke naye kanipa sababu lukuki nikajifanya understanding.Sasa waungwana ninahakika kwan nshachunga na muhudumu wa gesti ,je nikiwabamba nifanyaje ? inaniuma sana.

Kwani ni mkeo huyo? kama wewe unaweza kutembea nae bila ya kuoana unategemea na wenzako wasiweze? unanchekesha!
 
Don waste yo unaweza ukaenda aibika kaka usikute huyo chaguo la huyo bi mkubwa wako,,,, muweke wazi then chukua tym yako
 
KUNA mtu mmoja nilizikamata sms za malovie kwa mpenzi wangu wakijibizana ,nikazunguka kitaa nikapata full detail jamaa anamtafuna mpenzi wangu baa fulani sasa kesho nimekuta sms kuwa watakutana pale jion na tayali huyu manzi nikamuomba nitoke naye kanipa sababu lukuki nikajifanya understanding.Sasa waungwana ninahakika kwan nshachunga na muhudumu wa gesti ,je nikiwabamba nifanyaje ? inaniuma sana.

Kaka dn waste yo tym may b huyo jamaa ndo chaguo la bi mkubwa wako muweke wazi then chukua tym yako
 
KUNA mtu mmoja nilizikamata sms za malovie kwa mpenzi wangu wakijibizana ,nikazunguka kitaa nikapata full detail jamaa anamtafuna mpenzi wangu baa fulani sasa kesho nimekuta sms kuwa watakutana pale jion na tayali huyu manzi nikamuomba nitoke naye kanipa sababu lukuki nikajifanya understanding.Sasa waungwana ninahakika kwan nshachunga na muhudumu wa gesti ,je nikiwabamba nifanyaje ? inaniuma sana.
Angekuwa ni mkeo ningekupa mbinu nzuri na yenye uhakika!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom