Chillah
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 8,263
- 8,787
CHADEMA ina nguvu ya umma, leo Magufuli kaamini kwamba CHADEMA sio chama cha hovyo hovyo.
Uwanja umefurika watu hado ukatema nje.
Hizi sherehe tulizoea kusikia watumishi wa umma wakilazimishwa kuhudhuria, leo imekuwa tofauti.