Kesho mambo kuwekwa hadharani miradi yote iliyotekelezwa na Serikali "CCM imejipanga"

Nyanswe Nsame

Senior Member
Jul 9, 2019
158
175
Kesho mambo kuwekwa hadharani miradi yote iliyotekelezwa na Serikali

"CCM imejipanga"

Kamati ya siasa Wilaya ya Nyamagana, kesho itaanza ziara ya kukagua miradi ya maendeleo ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka 2015 -2020.

Kamati hiyo kesho itakagua miradi ya maendeleo iliyotekelezwa kuanzia Januari 2019 hadi Desemba 2020.

Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Phillip Nyimbi akitoa taarifa kwa waandishi wa habari leo, alisema kamati hiyo ya siasa itakagua miradi mbalimbali ya maendeleo iliyotekelezwa na Serikali kuu na fedha za ndani.

Nyimbi ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya Nyamagana, alisema kamati hiyo ya siasa itatembelea miradi ya maendeleo ikiwemo ya afya, elimu, maji na miundombinu.

Alisema fedha za utekelezaji wa miradi hiyo, zimetokana na fedha zilizotolewa na Serikali kuu na fedha za ndani ambazo zimetekeleza miradi hiyo itakayoleta manufaa kwa wananchi.

"Tutatembelea miradi katika kata zote zilipo Nyamagana, ikiwemo kata ya Igoma, Nyamagana, Lwahnima na kata zote ambazo miradi imetekelezwa," alisema Nyimbi.

Alisema miradi iliyotekelezwa na Serikali kupitia fedha za serikali kuu na za ndani imefanya kazi kubwa na ya mfano, kwani miradi mingi imefanyika kwa kiwango kikubwa na kilicho bora.

Nyimbi alitumia nafasi hiyo kuwaalika wananchi na wadau wa maendeleo kujitokeza kwenye maeneo yao kwenda kuangalia utekelezaji huo wa miradi ya maendeleo.

Miongoni mwa miradi ambayo imetekelezwa na Serikali kuu ni pamoja na mradi mkubwa wa maji nyegezi, ujenzi wa vyumba vya madarasa, kituo cha afya kilichopo kata ya Mhandu pamoja na mradi wa wajasiliamali wadogo wa kutengeneza viatu na bidhaa mbalimbali katika eneo la Makoroboi.

Kutoka kwa Mseti.
 

Attachments

  • IMG20200214104620.jpg
    IMG20200214104620.jpg
    169.9 KB · Views: 1
  • IMG20200214104607.jpg
    IMG20200214104607.jpg
    179.7 KB · Views: 1
  • IMG20200214104304.jpg
    IMG20200214104304.jpg
    164.7 KB · Views: 1
  • IMG20200214104236.jpg
    IMG20200214104236.jpg
    130.5 KB · Views: 1
  • IMG20200214104304.jpg
    IMG20200214104304.jpg
    164.7 KB · Views: 1
Hiyo tuna iita siasa ya maarifa na vitendo Kuna vyama vingine wanafanya siasa za mdomo alafu wakishindwa uchaguzi wanasingizia wameibiwa.
 
Nyanswe kikwetu ni kalio la kuku....

Btw: hii ni Rubbish
Kesho mambo kuwekwa hadharani miradi yote iliyotekelezwa na Serikali

"CCM imejipanga"

Kamati ya siasa Wilaya ya Nyamagana, kesho itaanza ziara ya kukagua miradi ya maendeleo ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka 2015 -2020.

Kamati hiyo kesho itakagua miradi ya maendeleo iliyotekelezwa kuanzia Januari 2019 hadi Desemba 2020.

Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Phillip Nyimbi akitoa taarifa kwa waandishi wa habari leo, alisema kamati hiyo ya siasa itakagua miradi mbalimbali ya maendeleo iliyotekelezwa na Serikali kuu na fedha za ndani.

Nyimbi ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya Nyamagana, alisema kamati hiyo ya siasa itatembelea miradi ya maendeleo ikiwemo ya afya, elimu, maji na miundombinu.

Alisema fedha za utekelezaji wa miradi hiyo, zimetokana na fedha zilizotolewa na Serikali kuu na fedha za ndani ambazo zimetekeleza miradi hiyo itakayoleta manufaa kwa wananchi.

"Tutatembelea miradi katika kata zote zilipo Nyamagana, ikiwemo kata ya Igoma, Nyamagana, Lwahnima na kata zote ambazo miradi imetekelezwa," alisema Nyimbi.

Alisema miradi iliyotekelezwa na Serikali kupitia fedha za serikali kuu na za ndani imefanya kazi kubwa na ya mfano, kwani miradi mingi imefanyika kwa kiwango kikubwa na kilicho bora.

Nyimbi alitumia nafasi hiyo kuwaalika wananchi na wadau wa maendeleo kujitokeza kwenye maeneo yao kwenda kuangalia utekelezaji huo wa miradi ya maendeleo.

Miongoni mwa miradi ambayo imetekelezwa na Serikali kuu ni pamoja na mradi mkubwa wa maji nyegezi, ujenzi wa vyumba vya madarasa, kituo cha afya kilichopo kata ya Mhandu pamoja na mradi wa wajasiliamali wadogo wa kutengeneza viatu na bidhaa mbalimbali katika eneo la Makoroboi.

Kutoka kwa Mseti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kesho mambo kuwekwa hadharani miradi yote iliyotekelezwa na Serikali

"CCM imejipanga"

Kamati ya siasa Wilaya ya Nyamagana, kesho itaanza ziara ya kukagua miradi ya maendeleo ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka 2015 -2020.

Kamati hiyo kesho itakagua miradi ya maendeleo iliyotekelezwa kuanzia Januari 2019 hadi Desemba 2020.

Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Phillip Nyimbi akitoa taarifa kwa waandishi wa habari leo, alisema kamati hiyo ya siasa itakagua miradi mbalimbali ya maendeleo iliyotekelezwa na Serikali kuu na fedha za ndani.

Nyimbi ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya Nyamagana, alisema kamati hiyo ya siasa itatembelea miradi ya maendeleo ikiwemo ya afya, elimu, maji na miundombinu.

Alisema fedha za utekelezaji wa miradi hiyo, zimetokana na fedha zilizotolewa na Serikali kuu na fedha za ndani ambazo zimetekeleza miradi hiyo itakayoleta manufaa kwa wananchi.

"Tutatembelea miradi katika kata zote zilipo Nyamagana, ikiwemo kata ya Igoma, Nyamagana, Lwahnima na kata zote ambazo miradi imetekelezwa," alisema Nyimbi.

Alisema miradi iliyotekelezwa na Serikali kupitia fedha za serikali kuu na za ndani imefanya kazi kubwa na ya mfano, kwani miradi mingi imefanyika kwa kiwango kikubwa na kilicho bora.

Nyimbi alitumia nafasi hiyo kuwaalika wananchi na wadau wa maendeleo kujitokeza kwenye maeneo yao kwenda kuangalia utekelezaji huo wa miradi ya maendeleo.

Miongoni mwa miradi ambayo imetekelezwa na Serikali kuu ni pamoja na mradi mkubwa wa maji nyegezi, ujenzi wa vyumba vya madarasa, kituo cha afya kilichopo kata ya Mhandu pamoja na mradi wa wajasiliamali wadogo wa kutengeneza viatu na bidhaa mbalimbali katika eneo la Makoroboi.

Kutoka kwa Mseti.
Hizi takataka za nini hapa?
 
Na vipi watatembelea stendi ya nyengezi iliyosimamishwa kujengwa? Matumiz mabaya ya kodi za wananchi watachoma mafuta kwa kuzungukia tembo weupe
 
Kesho mambo kuwekwa hadharani miradi yote iliyotekelezwa na Serikali

"CCM imejipanga"

Kamati ya siasa Wilaya ya Nyamagana, kesho itaanza ziara ya kukagua miradi ya maendeleo ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka 2015 -2020.

Kamati hiyo kesho itakagua miradi ya maendeleo iliyotekelezwa kuanzia Januari 2019 hadi Desemba 2020.

Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Phillip Nyimbi akitoa taarifa kwa waandishi wa habari leo, alisema kamati hiyo ya siasa itakagua miradi mbalimbali ya maendeleo iliyotekelezwa na Serikali kuu na fedha za ndani.

Nyimbi ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya Nyamagana, alisema kamati hiyo ya siasa itatembelea miradi ya maendeleo ikiwemo ya afya, elimu, maji na miundombinu.

Alisema fedha za utekelezaji wa miradi hiyo, zimetokana na fedha zilizotolewa na Serikali kuu na fedha za ndani ambazo zimetekeleza miradi hiyo itakayoleta manufaa kwa wananchi.

"Tutatembelea miradi katika kata zote zilipo Nyamagana, ikiwemo kata ya Igoma, Nyamagana, Lwahnima na kata zote ambazo miradi imetekelezwa," alisema Nyimbi.

Alisema miradi iliyotekelezwa na Serikali kupitia fedha za serikali kuu na za ndani imefanya kazi kubwa na ya mfano, kwani miradi mingi imefanyika kwa kiwango kikubwa na kilicho bora.

Nyimbi alitumia nafasi hiyo kuwaalika wananchi na wadau wa maendeleo kujitokeza kwenye maeneo yao kwenda kuangalia utekelezaji huo wa miradi ya maendeleo.

Miongoni mwa miradi ambayo imetekelezwa na Serikali kuu ni pamoja na mradi mkubwa wa maji nyegezi, ujenzi wa vyumba vya madarasa, kituo cha afya kilichopo kata ya Mhandu pamoja na mradi wa wajasiliamali wadogo wa kutengeneza viatu na bidhaa mbalimbali katika eneo la Makoroboi.

Kutoka kwa Mseti.
una akili timamu ?
 
Kesho mambo kuwekwa hadharani miradi yote iliyotekelezwa na Serikali

"CCM imejipanga"

Kamati ya siasa Wilaya ya Nyamagana, kesho itaanza ziara ya kukagua miradi ya maendeleo ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka 2015 -2020.

Kamati hiyo kesho itakagua miradi ya maendeleo iliyotekelezwa kuanzia Januari 2019 hadi Desemba 2020.

Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Phillip Nyimbi akitoa taarifa kwa waandishi wa habari leo, alisema kamati hiyo ya siasa itakagua miradi mbalimbali ya maendeleo iliyotekelezwa na Serikali kuu na fedha za ndani.

Nyimbi ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya Nyamagana, alisema kamati hiyo ya siasa itatembelea miradi ya maendeleo ikiwemo ya afya, elimu, maji na miundombinu.

Alisema fedha za utekelezaji wa miradi hiyo, zimetokana na fedha zilizotolewa na Serikali kuu na fedha za ndani ambazo zimetekeleza miradi hiyo itakayoleta manufaa kwa wananchi.

"Tutatembelea miradi katika kata zote zilipo Nyamagana, ikiwemo kata ya Igoma, Nyamagana, Lwahnima na kata zote ambazo miradi imetekelezwa," alisema Nyimbi.

Alisema miradi iliyotekelezwa na Serikali kupitia fedha za serikali kuu na za ndani imefanya kazi kubwa na ya mfano, kwani miradi mingi imefanyika kwa kiwango kikubwa na kilicho bora.

Nyimbi alitumia nafasi hiyo kuwaalika wananchi na wadau wa maendeleo kujitokeza kwenye maeneo yao kwenda kuangalia utekelezaji huo wa miradi ya maendeleo.

Miongoni mwa miradi ambayo imetekelezwa na Serikali kuu ni pamoja na mradi mkubwa wa maji nyegezi, ujenzi wa vyumba vya madarasa, kituo cha afya kilichopo kata ya Mhandu pamoja na mradi wa wajasiliamali wadogo wa kutengeneza viatu na bidhaa mbalimbali katika eneo la Makoroboi.

Kutoka kwa Mseti.
Hii maradi si ya CCM ni ya taifa na tunakopa pesa wote na tunalipa wote. Kizuri tofauti na zamani tunajua hayo kwasababu watoa mikopo wako wazi.
 
Mradi wa maji nyegezi umeanza kabla ya awamj ya tano kama ilivyo huo was viatu makoroboi ambao umekuwepo tangu awamu ya NNE.

Hizo fedha za kuzunguka kukagua miradi iliyokuwepo, kwanin msitumie kukarabati Barbara zilizoharibiwa na mvua.

Pia zingetumika kuondoa tatizo LA upatikanajk wa maji na kuongeza vyumba vya mafarasa, madawati na walimu, badala ya mbwembwe wakati wanafunzi wa kujiunga na kidato cha kwanza wamekosa nafasi
 
Mradi wa utekaji na mauwaji ya raia mbona sijauona wakati unatekelezwa kwa ufanisi wa hali ya juu sana?
 
Wewe mpuuzi kwelikweli.kwani sio kweli kwamba ccm wanaiba kura?
Sasa vyama tunafanya siasa za midomo mbona mnanunua watu wao na kuwapa uongozi? Vyama vinafanya siasa za mdomo lakini viongozi wao Mnawamiminia RISASI? vikifanya mikutano hata ya ndani mnapeleka MAPOLISI
Kweli wasukuma washamba
Hiyo tuna iita siasa ya maarifa na vitendo Kuna vyama vingine wanafanya siasa za mdomo alafu wakishindwa uchaguzi wanasingizia wameibiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kesho mambo kuwekwa hadharani miradi yote iliyotekelezwa na Serikali

"CCM imejipanga"

Kamati ya siasa Wilaya ya Nyamagana, kesho itaanza ziara ya kukagua miradi ya maendeleo ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka 2015 -2020.

Kamati hiyo kesho itakagua miradi ya maendeleo iliyotekelezwa kuanzia Januari 2019 hadi Desemba 2020.

Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Phillip Nyimbi akitoa taarifa kwa waandishi wa habari leo, alisema kamati hiyo ya siasa itakagua miradi mbalimbali ya maendeleo iliyotekelezwa na Serikali kuu na fedha za ndani.

Nyimbi ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya Nyamagana, alisema kamati hiyo ya siasa itatembelea miradi ya maendeleo ikiwemo ya afya, elimu, maji na miundombinu.

Alisema fedha za utekelezaji wa miradi hiyo, zimetokana na fedha zilizotolewa na Serikali kuu na fedha za ndani ambazo zimetekeleza miradi hiyo itakayoleta manufaa kwa wananchi.

"Tutatembelea miradi katika kata zote zilipo Nyamagana, ikiwemo kata ya Igoma, Nyamagana, Lwahnima na kata zote ambazo miradi imetekelezwa," alisema Nyimbi.

Alisema miradi iliyotekelezwa na Serikali kupitia fedha za serikali kuu na za ndani imefanya kazi kubwa na ya mfano, kwani miradi mingi imefanyika kwa kiwango kikubwa na kilicho bora.

Nyimbi alitumia nafasi hiyo kuwaalika wananchi na wadau wa maendeleo kujitokeza kwenye maeneo yao kwenda kuangalia utekelezaji huo wa miradi ya maendeleo.

Miongoni mwa miradi ambayo imetekelezwa na Serikali kuu ni pamoja na mradi mkubwa wa maji nyegezi, ujenzi wa vyumba vya madarasa, kituo cha afya kilichopo kata ya Mhandu pamoja na mradi wa wajasiliamali wadogo wa kutengeneza viatu na bidhaa mbalimbali katika eneo la Makoroboi.

Kutoka kwa Mseti.

WE MSHAMBA SANA, UNATUELEZA MAMBO YA NYAMAGANA ATI MAKOROBOI, SIJUI KIRUMBA?? HACHA USHAMBA WAKO BWABWA WEWE, HUJUI KUWA UKO NI SHAMBANI?? ONGEZENI KILIMO CHA NYANYA TUWAPE ELA.NYANG'AU NYIE.
 
Kesho mambo kuwekwa hadharani miradi yote iliyotekelezwa na Serikali

"CCM imejipanga"

Kamati ya siasa Wilaya ya Nyamagana, kesho itaanza ziara ya kukagua miradi ya maendeleo ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka 2015 -2020.

Kamati hiyo kesho itakagua miradi ya maendeleo iliyotekelezwa kuanzia Januari 2019 hadi Desemba 2020.

Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Phillip Nyimbi akitoa taarifa kwa waandishi wa habari leo, alisema kamati hiyo ya siasa itakagua miradi mbalimbali ya maendeleo iliyotekelezwa na Serikali kuu na fedha za ndani.

Nyimbi ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya Nyamagana, alisema kamati hiyo ya siasa itatembelea miradi ya maendeleo ikiwemo ya afya, elimu, maji na miundombinu.

Alisema fedha za utekelezaji wa miradi hiyo, zimetokana na fedha zilizotolewa na Serikali kuu na fedha za ndani ambazo zimetekeleza miradi hiyo itakayoleta manufaa kwa wananchi.

"Tutatembelea miradi katika kata zote zilipo Nyamagana, ikiwemo kata ya Igoma, Nyamagana, Lwahnima na kata zote ambazo miradi imetekelezwa," alisema Nyimbi.

Alisema miradi iliyotekelezwa na Serikali kupitia fedha za serikali kuu na za ndani imefanya kazi kubwa na ya mfano, kwani miradi mingi imefanyika kwa kiwango kikubwa na kilicho bora.

Nyimbi alitumia nafasi hiyo kuwaalika wananchi na wadau wa maendeleo kujitokeza kwenye maeneo yao kwenda kuangalia utekelezaji huo wa miradi ya maendeleo.

Miongoni mwa miradi ambayo imetekelezwa na Serikali kuu ni pamoja na mradi mkubwa wa maji nyegezi, ujenzi wa vyumba vya madarasa, kituo cha afya kilichopo kata ya Mhandu pamoja na mradi wa wajasiliamali wadogo wa kutengeneza viatu na bidhaa mbalimbali katika eneo la Makoroboi.

Kutoka kwa Mseti.
Unatujazia server ewe kondoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom