Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,207
- 128,006
aisee mjane ukimaliza eda tutaendelea na huu mjadala.Akili ndogo hufikiria kuishia miguuni ...unadhani serikali inaanza na nani kama sio wewe!? Yaani unakaa kuwaza kunadubwana linaitwa serikali litakufanyia kila kitu we umekalisha kende zako kulisubilia... Uraia unaoungelea wewe ndio hujausoma anza kujifunza kuhusu wajibu wa raia....empty box