Kesho Lissu asipotulia tena yatamkuta yale yaliomkuta 2019 mbele ya Masilingi

Akili ndogo hufikiria kuishia miguuni ...unadhani serikali inaanza na nani kama sio wewe!? Yaani unakaa kuwaza kunadubwana linaitwa serikali litakufanyia kila kitu we umekalisha kende zako kulisubilia... Uraia unaoungelea wewe ndio hujausoma anza kujifunza kuhusu wajibu wa raia....empty box
aisee mjane ukimaliza eda tutaendelea na huu mjadala.
 
Lissu kaondoka Tanzania akisindikzwa na mabalozi wa US, UK na ubelgiji akiwindwa na kuuwawa na watu wenye ngozi nyeusi.

Ben, Azory, Mawazo nk wameuwawa na watu weusi.

Hoja si uzungu wala weusi.

Buthelezi alikuwa mwafrika.

Mkoloni ni mkoloni tu. Uzoefu unaonyesha akiwa ni mkoloni mwendo, usiombe!
Cha kujiuliza ni kwanini!? Wamsindikize mabalozi!?

Kafanya nini mpaka yeye pekee kati ya watu milioni sitini aondoke kwa kusindikizwa!?

Je hao Wazungu wanampenda Lisu au wanaipenda Tanzania!? Kama wanaipenda Tanzania kwanini waruhusu makampuni yao yandeshwe kinyonyaji against Tanzania kwa mikataba ya hovyo!?

Na kama haipendwi Tanzania kwanini wanampenda Lissu!? Ana nini anachowapa mpaka wampende!?

American as a nation is killing people left right and center for name of state interests.. wako watu wamekimbia taifa lao kutafuta asylum nje ya Marekani kukimbia uovu wa kila namna...



Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cha kujiuliza ni kwanini!? Wamsindikize mabalozi!?

Kafanya nini mpaka yeye pekee kati ya watu milioni sitini aondoke kwa kusindikizwa!?

Je hao Wazungu wanampenda Lisu au wanaipenda Tanzania!? Kama wanaipenda Tanzania kwanini waruhusu makampuni yao yandeshwe kinyonyaji against Tanzania kwa mikataba ya hovyo!?

Na kama haipendwi Tanzania kwanini wanampenda Lissu!? Ana nini anachowapa mpaka wampende!?

American as a nation is killing people left right and center for name of state interests.. wako watu wamekimbia taifa lao kutafuta asylum nje ya Marekani kukimbia uovu wa kila namna...



Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app

Hukusema chochote kuhusiana na kina Azory, Ben wala mawazo - watanzania hao.

Lissu kasindikizwa kwa usalama wake dhidi ya watoa roho mithili ya mamba.

Huna lolote la kusema kuwahusu mamba hao? Au wewe ndiyo mamba wenyewe na kusindikizwa Lissu ulipokonywa nyama mdomoni?
 
Kesho Lissu yupo Straight talk Africa na gwiji la kupinga ufisadi Afrika PLO Lumumba, mada ni legacy aliyoiacha shujaa wa Afrika, JPM. Tuungane.

Lissu kampeni yake ya kuzunguka dunia nzima kupakaza matope taifa letu iliisha ile siku aliyokutana na balozi Wilson Masilingi. Lissu alirushwarushwa kwa hoja, akakanyagwa kwa sheria na vifungu vyake kisha akafundishwa uzalendo na balozi msomi Masilingi. Lissu jasho lilimtoka na baada ya hapo alicancel ratiba ya mahojiano na Al Jazeera, NBC na KTN na badala yake alionekana sehemu nyingine.

Baada ya Lissu kushindwa kupambana na Magu akiwa hai,ameamua kumchafua alipofariki, nape alishindwa baada ya mamilioni kuomboleza kifo chake.

Japokuwa kesho sio mdahalo hasa, Lissu inabidi ajitahidi sana kucontrol adabu yake maana sidhani kama Lumumba PLO atakubali kuona shujaa wa Afrika JPM akichafuliwa na hasira za Lissu kupata kura asilimia 9 uchaguzi uliopita.

View attachment 1739062
Ulivyo mjinga hata hujui kwa nini Masilingi walimtoa kwenye ubalozi.
Ccm bwana,akili mfukoni.
 
Hukusema chochote kuhusiana na kina Azory, Ben wala mawazo - watanzania hao.

Lissu kasindikizwa kwa usalama wake dhidi ya watoa roho mithili ya mamba.

Huna lolote la kusema kuwahusu mamba hao? Au wewe ndiyo mamba wenyewe na kusindikizwa Lissu ulipokonywa nyama mdomoni?
Maneno matakatifu yanasema heshimu wenye Mamlaka. Na jifunze namna ya kuongea nao.

Mtu mwenye nguvu ni "MTU" ana hasira au hisia na anafanya maamuzi au wakati mwingine makosa kama kawaida.

Kujibu swali lako, Ukiona Kiongozi Amefanya kitu lazima ujenge nature ya kuamini its for Greater good. Na wakati mwingine hugeuka kuwa makosa... Lakini ndivyo ilivyo.. in long run tunajifunza na kubadilika.

Haijalishi una point au hoja kiasi gani lazima ujue namna ya kumshauri mtu mwenye mamlaka.. na kamwe usiwe mwenye kiburi na majivuno..

Kipi kiliwakuta hao.. sijui.. lakini kwa jinsi Lissu anavyojiendesha.. ni dhahiri Sehemu kubwa anajiendesha kama Narcissist. Anachotaka yeye pekee ndicho sahihi na bora.. huwezi kuwa na mahusiano na mtu yeyote ukiwa na tabia hiyo.. sio tu hapa duniani hata ahera. Maana ni tabia ya kishetani

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Pumba tupu
hukuwa umezaliwa au hukuwa na smartphone mkuu??

ile siku ndio nilijua wasomi wa CCM wakiweka siasa chini sio watu wa mchezo mchezo.nikagundua kitu pia,kwamba kumbe lissu huwa anatoa povu sio hoja.

sasa kesho ajipange,na sijui kama hataokba udhuru.
 
Maneno matakatifu yanasema heshimu wenye Mamlaka. Na jifunze namna ya kuongea nao.

Mtu mwenye nguvu ni "MTU" ana hasira au hisia na anafanya maamuzi au wakati mwingine makosa kama kawaida.

Kujibu swali lako, Ukiona Kiongozi Amefanya kitu lazima ujenge nature ya kuamini its for Greater good. Na wakati mwingine hugeuka kuwa makosa... Lakini ndivyo ilivyo.. in long run tunajifunza na kubadilika.

Haijalishi una point au hoja kiasi gani lazima ujue namna ya kumshauri mtu mwenye mamlaka.. na kamwe usiwe mwenye kiburi na majivuno..

Kipi kiliwakuta hao.. sijui.. lakini kwa jinsi Lissu anavyojiendesha.. ni dhahiri Sehemu kubwa anajiendesha kama Narcissist. Anachotaka yeye pekee ndicho sahihi na bora.. huwezi kuwa na mahusiano na mtu yeyote ukiwa na tabia hiyo.. sio tu hapa duniani hata ahera. Maana ni tabia ya kishetani

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Toooooo blind ideas.
 
Cha kujiuliza ni kwanini!? Wamsindikize mabalozi!?

Kafanya nini mpaka yeye pekee kati ya watu milioni sitini aondoke kwa kusindikizwa!?

Je hao Wazungu wanampenda Lisu au wanaipenda Tanzania!? Kama wanaipenda Tanzania kwanini waruhusu makampuni yao yandeshwe kinyonyaji against Tanzania kwa mikataba ya hovyo!?

Na kama haipendwi Tanzania kwanini wanampenda Lissu!? Ana nini anachowapa mpaka wampende!?

American as a nation is killing people left right and center for name of state interests.. wako watu wamekimbia taifa lao kutafuta asylum nje ya Marekani kukimbia uovu wa kila namna...



Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Wazungu wamestaarabika kuliko ngozi nyeusi,kuua watu hovyohovyo hawawezi.
 
Kwamba Lumumba PLO mkenya huyu ana uchungu sana na Tanzania au na Mtanzania kuliko Lissu?

Wajameni! Tuwe serious kidogo basi.

Kwamba Masilingi alimwelemea Lissu VoA? Masilingi mwenyewe hatakubaliana na wewe kwenye hilo.

PLO akapambane na BBI na akina Ruto. Hapana kusahau hata jab ya AstraZeneca ya beberu keshapata huyu!
We maku kweli, Toka Lini shoga Lissu akawa na uchungu na watanzania?
 
Acha uwongo

Weka hiyo link ya VOA hardtalk na Shaka ssali.

Wilson masillingi alikuwa ana jing'ata ng'ata Tu
Hakuwa na jipya lolote zaidi ya kusifia sifia jiwe lenu
 
Toooooo blind ideas.
Kwa mtu asiyefundwa.
Kusalimia kwa unyenyekevu si ni ushamba pia. Kuongea kwa hoja ya na ustaarabu.. kujifunza kusikiliza ili kuelewa na sio kusikiliza ili kujibu ni maswala ya kizamani mno.

Tangu kuumbwa dunia sijawahi kusikia wenye ngozi nyeusi waliwateka, kuwaua, kuwaibia, kuwabaka na kuwadhalilisha watu wengine.

Hao wabeligiji walikuwa wana zoo ya mwanamke muafrika.. huo ndio ustaarabu unaousema!?

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Time saver tu hilo jamaa halina lolote. Akiwa na Kenyatta anacheza ngoma ya Kenyatta. Kwenye kesi ya Raila dhidi ya Kenyatta kupinga uchaguzi, PLO alikuwa lead counsel kwa Kenyatta.

PLO akiwa na jiwe anaimba nyimbo za jiwe.

Akiwa na Kagame anaimba nyimbo za huko.

Vivyo hivyo akiwa na Mungu au Shetani.
NI WATU WENYE KASI NDOGO YA KUELEWA NDIO WANAMWONA PLO NI WA MAANA!
 
Kesho Lissu yupo Straight talk Africa na gwiji la kupinga ufisadi Afrika PLO Lumumba, mada ni legacy aliyoiacha shujaa wa Afrika, JPM. Tuungane.

Lissu kampeni yake ya kuzunguka dunia nzima kupakaza matope taifa letu iliisha ile siku aliyokutana na balozi Wilson Masilingi. Lissu alirushwarushwa kwa hoja, akakanyagwa kwa sheria na vifungu vyake kisha akafundishwa uzalendo na balozi msomi Masilingi. Lissu jasho lilimtoka na baada ya hapo alicancel ratiba ya mahojiano na Al Jazeera, NBC na KTN na badala yake alionekana sehemu nyingine.

Baada ya Lissu kushindwa kupambana na Magu akiwa hai,ameamua kumchafua alipofariki, nape alishindwa baada ya mamilioni kuomboleza kifo chake.

Japokuwa kesho sio mdahalo hasa, Lissu inabidi ajitahidi sana kucontrol adabu yake maana sidhani kama Lumumba PLO atakubali kuona shujaa wa Afrika JPM akichafuliwa na hasira za Lissu kupata kura asilimia 9 uchaguzi uliopita.

View attachment 1739062

Naamini Lisu ataingia mitini. Hataonekana kwa sababu atajidharaulisha kupita kipimo na ataendelea kupoteza nyumbu. Ataingia mitini nawaambieni
 
31 Reactions
Reply
Back
Top Bottom