Kesho kuundwa Kamati teule ya bunge

sem2708

JF-Expert Member
Nov 4, 2010
5,172
4,134
Wakuu Kuna kila dalili kuwa kesho itaundwa Kamati teule ya bunge ili kujiridhisha na mapendekezo ya bunge kwani imeonekana kuwa mapendekezo hayo yamechagizwa Sana na personal grudges za baadhi ya POAC members dhidi ya muhongo and Co.
 
Wakuu Kuna kila dalili kuwa kesho itaundwa Kamati teule ya bunge ili kujiridhisha na mapendekezo ya bunge kwani imeonekana kuwa mapendekezo hayo yamechagizwa Sana na personal grudges za baadhi ya POAC members dhidi ya muhongo and Co.

Kongoromoko mkubwa wewe! Eskorow mkubwa
 
Acha kutapatapa...mhongo aliingia kwenye siasa za tz kwa pupa na majivuno ya kizanaki sasa yametokea puani.
 
Kuna kitu kinaitwa 'wananchi kuwa na imani na serikali yao'. Mazingaumbo yaliyotokea kabla ya kusomwa kwa report ya PAC, majina ya vigogo walipewa mgao, heka heka za bunge na Mahakama zimetoa picha mbaya sana kwa upande wa serikali. Sasa kama bado watakuja na Kamati teuli watazidi kuondoa hata ile imani ndogo iliyosalia. Itaonekana kuwa watu bado wanalindana.
 
Wakuu Kuna kila dalili kuwa kesho itaundwa Kamati teule ya bunge ili kujiridhisha na mapendekezo ya bunge kwani imeonekana kuwa mapendekezo hayo yamechagizwa Sana na personal grudges za baadhi ya POAC members dhidi ya muhongo and Co.
Always ficha upumbavu wako!!
 
Wakuu Kuna kila dalili kuwa kesho itaundwa Kamati teule ya bunge ili kujiridhisha na mapendekezo ya bunge kwani imeonekana kuwa mapendekezo hayo yamechagizwa Sana na personal grudges za baadhi ya POAC members dhidi ya muhongo and Co.

kumbe yaliyo semwa ni ukweli tatizo lako liko kwenye mapendekezo tuu?

OK jaribu kipendekeza nini kifanyike!
 
Wakuu Kuna kila dalili kuwa kesho itaundwa Kamati teule ya bunge ili kujiridhisha na mapendekezo ya bunge kwani imeonekana kuwa mapendekezo hayo yamechagizwa Sana na personal grudges za baadhi ya POAC members dhidi ya muhongo and Co.

Utasikilizwa na nani kwenye pumba kama hizo. Huyo PM anazomewa na subordinates wake kaama mtoto mdogo sembuse na wewe. Acha kunya sebuleni mchana kweupeee
 
Wakuu Kuna kila dalili kuwa kesho itaundwa Kamati teule ya bunge ili kujiridhisha na mapendekezo ya bunge kwani imeonekana kuwa mapendekezo hayo yamechagizwa Sana na personal grudges za baadhi ya POAC members dhidi ya muhongo and Co.
Inaelekea umelala muda mrefu ndio maana unajamba ovyo kwa kuwa umeshindia kande maharage na kuota ndoto za alinacha. Amka uchukue kopo la maji uende chooni ukajisafishe tafadhali ili urudi kwenye hali yako ya kawaida.
 
Wakuu Kuna kila dalili kuwa kesho itaundwa Kamati teule ya bunge ili kujiridhisha na mapendekezo ya bunge kwani imeonekana kuwa mapendekezo hayo yamechagizwa Sana na personal grudges za baadhi ya POAC members dhidi ya muhongo and Co.

Pumba tupu hizi
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom